pika wa Bunge, Mhe. Dkt.Tulia Ackson akizungumza na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othaman katika ofisi za Makamu wa Rais Migombani Zanzibar, Februari 21, 2022
Spika wa Bunge, Mhe. Dkt.Tulia Ackson akiagana na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othaman katika ofisi za Makamu wa Rais Migombani Zanzibar, Februari 21, 2022
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Spika wa Bunge, Mhe. Dkt.Tulia Ackson akiteta jambo na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othaman katika ofisi za Makamu wa Rais Migombani Zanzibar, Februari 21, 2022
Spika wa Bunge, Mhe. Dkt.Tulia Ackson katika picha ya pamoja na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman katika ofisi za Makamu wa Rais Migombani Zanzibar, Februari 21, 2022
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...