Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipiga king'ora kuanzisha Mbio za Kilomita 42 katika maadhimisho ya  miaka 20 ya Kilimanjaro Marathon kwenye uwanja wa Chuo cha Ushirika  Moshi, Februari 27, 2022. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia Tanzania (BL)  ambao ndiyo wadhimini wakuu wa maadhimisho hayo, Jose D Moran. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)



 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriiki katika mbio za Kilimanjaro Marathon baada ya kuzianzisha kwenye uwanja wa Chuo cha  Ushirika mini Moshi, Februari 27, 2022. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...