Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Brigedia Jenerali Yohana Ocholla Mabongo, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC).
Brigedia Jenerali Mabongo ni Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA, Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.
Uteuzi huu umeanza tarehe 24 Februari, 2022
Zuhura Yunus
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...