


Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara), Ndugu Philip Mangula, akizungumza na Balozi wa Cuba nchini Tanzania, Profesa Lucas Domingo Hernandez (kushoto), ambaye alifika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam, kwa lengo la kumkabidhi salamu za pongezi za CCM kutimiza miaka 45, kutoka Chama Cha Kikomunisti cha Cuba na kuagana naye baada ya kumaliza muda wake wa kuiwakilisha Cuba nchini Tanzania. (Picha na Adam Mzee/ CCM Makao Makuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...