Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara), Ndugu Philip Mangula, akipokea salaamu maalum za pongezi za miaka 45 ya kuzaliwa kwa CCM kutoka kwa Chama Cha Kikomunisti cha Cuba, zilizowasilishwa na Balozi wa Cuba nchini Tanzania, Profesa Lucas Domingo Hernandez (kushoto), leo 24/2/2022, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam. Pia, Balozi Hernandez alimuaga Ndugu Mangula kufuatia kumalizika kwa muda wake wa kuiwakilisha Cuba nchini Tanzania, (Picha na Adam Mzee/ CCM Makao Makuu.)



Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara), Ndugu Philip Mangula, akizungumza na Balozi wa Cuba nchini Tanzania, Profesa Lucas Domingo Hernandez (kushoto), ambaye alifika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam, kwa lengo la kumkabidhi salamu za pongezi za CCM kutimiza miaka 45, kutoka Chama Cha Kikomunisti cha Cuba na kuagana naye baada ya kumaliza muda wake wa kuiwakilisha Cuba nchini Tanzania. (Picha na Adam Mzee/ CCM Makao Makuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...