Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipiga kura ya kuchangua Naibu Spika wa Bunge, bungeni jijini Dodoma, Februari 11, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu akiwaomba wabunge wamchague kuwa Naibu Spika, Bungeni jijini Dodoma, Februari 11, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka katika sanduku kura ya kumchagua Naibu Spika wa Bunge, bungeni jijini Dodoma, Februari 11, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Jacqueline Ngonyani, bungeni jijini Dodoma, Februari 11, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...