RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) na Wakurugenzi wa Bodi ya (ZRB) alipotembelea kwa mara ya kwanza Ofisi za Bodi ya Mapato Zanzibar.(ZRB) Mazizini Jijini Zanzibar, na kuzungumza na Uongozi huo katika ukumbi wa mkutano wa ofisi hiyo na kutengua uteuzi wa Kamishna Mkuu wa (ZRB) Bw. Salum Yussuf Ali.



MAOFISA wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa mkutano wake na Wakurugenzi wa Bodi ya (ZRB) na Uongozi wa ZRB uliofanyika katika ukumbi wa Ofisi za (ZRB) Mazizini Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...