Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akiwakaribisha wageni kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Ndg. Ruth Zaipuna (wa kwanza kushoto) walipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ndg. Ruth Zaipuna alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson Mb, (kushoto) akizungumza na ugeni kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Ndg. Ruth Zaipuna (wa kwanza kushoto) walipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Mb (wanne kushoto), katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Ndg. Ruth Zaipuna (wanne kulia) walipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...