Mshindi wa promosheni ya Vodacom Shangwe Lipo pale pale, Hamisa Lizuthi (wa pili kushoto) ambaye amejishindia zawadi ya ADA ya shule ili amlipie mwanae wakati wa makabidhiano ya mfano wa hundi kutoka kwa Meneja mkakati wa biashara Vodacom kanda ya kati Baraka Siwa (kulia), kushoto ni Meneja Mauzo wa Mkoa wa Morogoro Ibrahim Mawalla. Hafla ya makabidhiano hayo yalifanyika katika soko la Chifu Kingalu mkoani Morogoro.
Mshindi wa promosheni ya Vodacom Shangwe Lipo pale pale, Alex Kitambi (wa pili kushoto) ambaye amejishindia zawadi ya ADA ya shule ili amlipie mwanae wakati wa makabidhiano ya mfano wa hundi kutoka kwa Meneja mkakati wa biashara Vodacom kanda ya kati Baraka Siwa (kulia), kushoto ni Meneja Mauzo wa Mkoa wa Morogoro Ibrahim Mawalla. Hafla ya makabidhiano hayo yalifanyika katika soko la Chifu Kingalu mkoani Morogoro.
Mshindi wa promosheni ya Vodacom Shangwe Lipo pale pale, Kibwana Athumani (wa pili kushoto) ambaye amejishindia zawadi ya ADA ya shule ili amlipie mwanae wakati wa makabidhiano ya mfano wa hundi kutoka kwa Meneja mkakati wa biashara Vodacom kanda ya kati Baraka Siwa (kushoto ), kulia ni Meneja Mauzo wa Mkoa wa Morogoro Ibrahim Mawalla. Hafla ya makabidhiano hayo yalifanyika katika soko la Chifu Kingalu mkoani Morogoro
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...