
Mufti wa
Tanzania Dk. Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ali (kushoto), akizungumza
katika hafla fupi ya kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhan pamoja na
pongezi kwa kutunukiwa Shahada ya udaktari wa heshima (PHD) kutoka Chuo
Kikuu cha nchini Gambia. 


Mkuu wa Kitengo cha CRDB Al-Barakah Banking, Rashid Rashid, akizungumza na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake BAKWATA, Shamim Khan.
Mkuu wa Kitengo cha CRDB Al-Barakah Banking, Rashid Rashid (wa pili kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dk. Alhad Mussa Salum (kushoto kwake) wakati wa
hafla ya kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhan pamoja na
kumpongeza Mufti wa
Tanzania Dk. Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ali kwa kutunukiwa Shahada ya udaktari wa heshima (PHD) na Chuo
Kikuu cha nchini Gambia.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...