Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimkabidhi Kitabu cha Historia ya Muungano mmoja wa waliochanganya Udongo siku ya Muungano mwaka 1964 mzee Hasanieli Mrema wakati wa Maadhimisho ya Miaka 58 ya Muungano yaliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Mkoani Dodoma. Aprili 26,2022.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimkabidhi kadi ya bima ya Afya mmoja wa waliochanganya Udongo siku ya Muungano mwaka 1964 mzee Hasanieli Mrema wakati wa Maadhimisho ya Miaka 58 ya Muungano yaliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Mkoani Dodoma. Aprili 26,2022.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimkabidhi zawadi Saada Omary Ali mwanafunzi wa Skuli ya Hifadhi Zanzibar akiwa miongoni mwa washindi wa uandishi wa insha katika mada za Muungano wakati wa Maadhimisho ya Miaka 58 ya Muungano yaliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Mkoani Dodoma. Aprili 26,2022.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizindua Kitabu cha Historia ya Muungano wakati wa Maadhimisho ya Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Mkoani Dodoma. Aprili 26,2022.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizungumza na Viongozi, Wanafunzi na wananchi mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya Miaka 58 ya Muungano yaliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Mkoani Dodoma. Aprili 26,2022.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...