Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 26 Aprili 2022 ameshiriki futari na wazee pamoja makundi maalum katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete mkoani Dodoma. Futari hiyo imehudhuria na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa, Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma, Mawaziri, Makatibu wakuu pamoja na viongozi wa dini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 26 Aprili 2022 ameshiriki futari na wazee pamoja makundi maalum katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete mkoani Dodoma. Futari hiyo imehudhuria na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa, Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma, Mawaziri, Makatibu wakuu pamoja na viongozi wa dini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...