Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa pili wa Rais Hamza Hassan Juma akitoa hotuba mara baada ya Dua ya kumuombea  Marehemu Seif Bakari mmoja kati ya Wanamapinduzi katika hafla ya kuwatembelea  kuwaenzi na kuwaombea Dua Viongozi wa Kitaifa hafla iliofanyika Kiembe Samaki Zanzibar.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa pili wa Rais Hamza Hassan Juma(mwenye koti na kofia nyeupe)akiwaongoza waumini katika Dua ya kumuombea  Marehemu Seif Bakari mmoja kati ya Wanamapinduzi katika hafla ya kuwatembelea  kuwaenzi na kuwaombea Dua Viongozi wa Kitaifa hafla iliofanyika Kiembe Samaki Zanzibar.
Mmoja kati ya wanafamilia Abdalla Mitawi akisoma wasifu wa Marehemu Seif Bakari mmoja kati ya Wanamapinduzi katika hafla ya kuwatembelea  kuwaenzi na kuwaombea Dua Viongozi wa Kitaifa hafla iliofanyika Kiembe Samaki Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa pili wa Rais Hamza Hassan Juma(mwenye koti na kofia nyeupe)akimsikiliza Mmoja kati ya wanafamilia Abdalla Mitawi akisoma wasifu wa Marehemu Seif Bakari mmoja kati ya Wanamapinduzi katika hafla ya kuwatembelea  kuwaenzi na kuwaombea Dua Viongozi wa Kitaifa hafla iliofanyika Kiembe Samaki Zanzibar.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...