

Wanafunzi wa Taasisi ya Karume Sayansi na Teknolojia Zanzibar (KIST) pamoja na Wanafunzi kutoka Chuo Cha AP Belgium wakiwa katika Mafunzo ya kutengeneza Kifaa cha Kupima kiwango cha Chumvi Chumvi (SALINITY SENSOR) yaliyofanyika katika (Lab ya Microcontroller) Chuoni hapo Mbweni Mjini Zanzibar.
PICHA NA MARYAM KIDIKO – KIST.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...