Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Hospitali ya CCBRT Ndg. Brenda Msangi Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo Aprili 21, 2022.


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Hospitali ya CCBRT Ndg. Brenda Msangi iliyotengenezwa na Wanawake wanaopatiwa mafunzo ya Ujasiriamali kutoka kitengo cha Mabinti Centre kinachosimamiwa na Hospitali ya CCBRT




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...