Mkurugenzi wa Sheria na Utawala wa Kampuni ya Bakhresa Group, Shani Mligo akiwa miongoni mwa waliopanda miti katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili ya Mirembe Dodoma Aprili 30, 2022.Kampuni hiyo imedhamini upandaji miti zaidi ya 2000 kupitia Taasisi ya Habari Development.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dodoma, Ahadi Sinene akipanda mti eneo la Hospitali ya Mirembe. Sinene alimwakilisha aliyetakiwa kuwa mgeni rasmi katika shughuli hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri.

Upandaji miti ukiendelea Mirembe.

Baadhi ya wanafunzi wakishiriki upandaji miti

Askari wa Jeshi la Kujenga Taifa wakipanda miti.







Waandishi wa habari wakishiriki kupanda miti. Kushoto ni Shaban Tolle wa ITV na Joyce Kasiki wa Majira.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Habari Development, Bernard James (aliyevaa shati la bluu katikati) akiwa na Mkurugenzi wa Sheria na Utawala wa Kampuni ya Bakhresa Group, Shani Mligo, viongozi wengine wa Jiji la Dodoma pamoja na askari wa JKT.










Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, ujue yaliyojiri katika tukio hilo....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...