KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi  (CCM) Ndugu Daniel Chongolo  akisalimiana na Mkuu wa  Mkoa wa Shinyanga Mhe Sofia Mjema .baada ya kuwasili ofisi za chama hicho mkoa leo Mei 27,2022.

Ndugu Chongo  ameanza ziara ya kikazi katika Mkoa wa Shinyanga ambapo pamoja na mambo mengine ni kuimarisha na kuhimiza uhai wa chama kuanzia ngazi ya mashina.

Chongolo  ambaye ameambatana na Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ngemela Lubinga atazungumza na wanachama wa Chama hicho pamoja na kukagua miradi ya maendeleo kama ilivyoahidiwa  kwenye Ilani ya uchgauzi Mkuu mwaka 2020-2025.

Kwa mujibu wa ratiba ya Katibu Mkuu huyo baada ya kumaliza ziara yake Mkoa wa Shinyanga atakwenda mkoani Simiyu na atakuwa kwenye ziara kwa siku hizo tisa.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...