Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe,kampasi ya Morogoro wakifuatilia mada wakati wa kongamano hilo.
***
Kongamano la kuwajengea Wanafunzi wa vyuo vikuu lililoandaliwa na taasisi ya AIESEC tawi la Tanzania na kudhaminiwa na Kampuni ya Madini ya Barrick, kwa kushirikiana na wadau mbalimbali limefanyika katika Chuo Kikuu cha Mzumbe –Morogoro, ambapo wataalamu mbalimbali walitoa mada za kuwajengea uwezo Wanafunzi kusoma kwa bidii na kuzidi kuwa wabunifu ili waweze kwenda sambamba na mabadiliko ya kiteknolojia na kidigitali ili waweze kunufaika na fursa mbalimbali zinazojitokeza na kuwa na uwezo wa kujiajiri.
Afisa mwajiri wa kampuni ya Barrick, Alfa Rashid (kushoto) akibadilishana mawazo na Watendaji kutoka taasisi ya AIESEC.
Mhadhiri wa Chuo kikuu Mzumbe Dkt. Albogasti Mkabila, akibadilishana mawazo na Diwani wa kata ya Mzumbe, Godfrey Fransis, wakati wa kongamano.
Baadhi ya Wanafunzi wakipiga picha ya pamoja na watoa mada,waandaaji na wawakilishi wa makampuni yaliyofadhili kongamano hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...