Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Semina kuhusu Sensa ya Watu na Makazi kwa Wabunge iliyofanyika kwenye ukumbi wa Msekwa, Bungeni jijini Dodoma, Mei 30,2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Baadhi ya washiriki wa Semina kuhusu Sensa ya Watu na Makazi kwa Wabunge wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua Semina hiyo kwenye ukumbi wa Msekwa, Bungeni jijini Dodoma, Mei 30,2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...