Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wakandarasi wanaojenga meli ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa meli hiyo kwenye bandari ya Mwanza South jijini Mwanza, Mei 7, 2022. Kushoto kwa Waziri Mkuu ni Mkuu wa Wilaya ya Nyamgana, Amina Makilagi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maendeleo ya ujenzi wa meli ya MV  Mwanza Hapa  Kazi Tu kwenye Bandari ya Mwanza South jijini Mwanza, Mei 7, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Muonekano wa meli ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu ambayo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alikagua ujenzi wake kwenye bandari  ya Mwanza South jijini Mwanza, Mei 7, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...