Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akizungumza na waumini mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Misa Takatifu Dominika ya Nne ya Pasaka katika Kanisa Kuu katoliki la Bikira Maria Mshindaji Jimbo la Kigoma leo tarehe 08 Mei 2022


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango pamoja na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wakishiriki Ibada ya Misa Takatifu Dominika ya ya Nne ya Pasaka katika Kanisa Kuu katoliki la Bikira Maria Mshindaji Jimbo la Kigoma leo tarehe 08 Mei 2022.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...