Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Festo Dugange (katikati) na Naibu Waziri Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Geofrey Kasekenya (kulia), bungeni jijini Dodoma,



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, bungeni jijini Dodoma,



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji. Dkt. Eliezer Feleshi, bungeni jijini Dodoma, Mei 12, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...