"BUNGENI"
Showing posts with label BUNGENI. Show all posts

Na Janeth Raphael MichuziTv - Bungeni Dodoma

Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Revocatus Chipando (Baba levo) ameishauri Serikali na Bunge kufanya mapitio ya mfumo wa utozaji tozo katika sekta ya bodaboda, akisisitiza kuwa kundi hilo kubwa la vijana haliwezi kubebeshwa mzigo mpya wa kodi kutokana na hali yao ya kiuchumi.

Akichangia mjadala wa bajeti kuu ya Serikali, Chipando amesema bodaboda ni moja ya sekta zinazowezesha maisha ya mamilioni ya Watanzania, na kuongeza gharama mpya kutawaumiza zaidi wananchi walioko katika kipato cha chini.

Ameeleza kuwa takribani asilimia 75 ya waendesha bodaboda nchini ni vijana waliomaliza elimu ya msingi, hususan darasa la saba, ambao hawakuweza kuingia katika ajira rasmi, hivyo kujikuta wakijiajiri kwenye sekta isiyo rasmi ili kujikimu kimaisha.

Amesema badala ya kuongeza tozo katika sekta hiyo, Serikali inapaswa kutafuta vyanzo vingine vya mapato visivyoathiri moja kwa moja wananchi wenye kipato kidogo, huku akilinganisha hali hiyo na ongezeko la gharama katika bidhaa nyingine ambazo hazina athari kubwa kwa kundi hilo.

Katika hoja nyingine, mbunge huyo ameitaka Serikali kuwekeza zaidi kwenye teknolojia ya kisasa katika sekta ya ulinzi, ikiwemo matumizi ya ndege zisizo na rubani (drone) na vifaa vya kisasa vya kijeshi, ili kuendana na mabadiliko ya vita vya kisasa duniani, akitolea mfano wa migogoro kama ya Ukraine.

Aidha, katika sekta ya michezo na sanaa, Chipando amependekeza taasisi za kifedha kuwapa wasanii muda wa kutosha wa kurejesha mikopo wanayopewa kupitia programu za Serikali. Ameomba muda wa angalau miezi mitatu hadi sita ili kuwapa nafasi ya kurejesha mikopo baada ya kazi zao kuanza kuleta kipato.

Pia amesisitiza kuwa mikopo hiyo, ambayo hutolewa kupitia Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu Hassan, inapaswa kuwa na masharti rafiki yanayolenga kuwawezesha walengwa kunufaika badala ya kubanwa na ratiba ngumu za marejesho.



 Vitongoji 82 ambavyo bado havijafikiwa na umeme katika Wilaya ya Tarime mkoni Mara vitapelekewa umeme kupitia Mradi wa Kupeleka Umeme Vitongojini Awamu ya Pili B  (HEP IIB) ambapo tayari zabuni ya kuwapata wakandarasi wa mradi huo imeshatangazwa na inatarajiwa kufunguliwa hivi karibuni.


Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga, tarehe 22 Aprili, 2025 Jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara aliyetaka kufahamu lini Vitongoji vyote vya Tarime, vitapata Umeme.


Amefafanua kuwa  Jimbo la Tarime Vijijini lina jumla ya Vitongoji 500 ambapo vitongoji 225 tayari vina umeme, vitongoji 52 Wakandarasi wapo wanaendelea na kazi, na vitongoji 82 zabuni ya kuwapata Wakandarasi imetangazwa kupitia Mradi wa Kupeleka Umeme Vitongojini Awamu ya Pili B  (HEP IIB) na vitongoji 141 vilivyosalia vitaendelea kupelekewa umeme kupitia miradi ijayo.


Kuhusu mpango wa Serikali wa kuunganisha Umeme katika taasisi mbalimbali kupitia fedha za mradi wa Covid 19, Kapinga amesema tayari Serikali ilishaanza kutekeleza mpango huo ambapo mpaka sasa zaidi ya taasisi 3000 zimeshaunganishwa na umeme zikiwemo taasisi za Elimu, Afya, Dini, Migodi pamoja na visima vya maji.


Vilevile amesema kuwa Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imeendelea kuwapatia umeme wananchi kupitia miradi mbalimbali ya umeme.


NA WILLIUM PAUL.

MBUNGE wa Jimbo la Moshi vijijini, Prof. Patrick Ndakidemi ameihoji Serikali imechukua hatua gani za muda mfupi wa kati na muda mrefu kunusuru theluji inayotoweka mlima Kilimanjaro.

Aidha Mbunge huyo katika maswali ya nyongeza, alihoji ikiwa Serikali ina mpango gani ya kuwatumia Wabunge wa mkoa wa Kilimanjaro katika zoezi la kuhifadhi mlima kwa kuwashirikisha kuhamasisha kupanda miti.

Pia alitaka kujua mipango ya Serikali kuwatumia watafiti wazawa kwa kuwashirikisha na kuwawezesha kufanya Tafiti badala ya kuwategemea wale wanaotoka nje ya nchi.

Akijibu swali hilo Bungeni, Naibu Waziri wa Mali asili na Utalii, Dunstan Kitandula amesema kuwa, sababu kubwa ya kupungua kwa barafu katika mlima Kilimanjaro ni kuongezeka kwa joto la Dunia kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi yanayochangiwa na ongezeko la shughuli za kibinadamu hususani ukataji wa miti, kilimo, uchomaji moto katika maeneo yanayozunguka mlima.

Alisema kuwa, katika kutekeleza mikakati ya muda mfupi serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imepanga kupanda miti takribani milioni 8 kwa mwaka katika mkoa wa Kilimanjaro sambamba na kutoa elimu kwa umma kuhusu upandaji miti na uhifadhi wa mazingira.


Na Andrew Chale, Dar es Salaam.


SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Tulia Ackson amemuapisha Balozi Mahmoud Thabit Kombo kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo za Bunge, jijini Dar es Salaam.

Balozi Kombo ameapishwa leo Alhamisi Julai 25, 2024, Ofisi hizo huku akiambatana na familia yake, sambamba na kusindikizwa na Wabunge kadhaa pamoja na maafisa wa Bunge n wale wa ofisi ya Mambo ya Nje tukio lililoshuhudiwa na Waandishi wa Habari mbalimbali.

Julai 21, 2024 Balozi Kombo alipoteuliwa kuwa Mbunge na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Rais Samia Suluhu Hassan, kuchukua nafasi ya January Makamba ambaye uteuzi wake ulitenguliwa.

Katika tukio hilo, Dk Tulia amempongeza kwa kuaminiwa na Rais Samia Suluhu Hassan na kupewa nafasi ya ubunge, huku akisema zipo chache hivyo yeye kuwa miongoni mwao ni heshima kubwa.

"Tukio hili ambalo tumelikamilisha hapa ni kiapo cha uaminifu ambacho kinamfanya Balozi Kombo kuwa mbunge kwa matakwa ya ibara ya 68 ya Katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania na kwa mujibu wa kanuni za Bunge za kudumu.

"Kanuni ya 30 fasili ya kwanza ambayo inaeleza kabla ya mbunge kuanza kushiriki kanuni za Bunge lazima ale kiapo cha uaminifu mbele ya Spika,” amesema Dk Tulia.

Amesema fasili ndogo ya 2(b) inaleza mbunge ataapishwa na Spika kwa mujibu wa eneo ambalo litapangwa na Spika huku akisema awali kulikuwa na changamoto jambo ambalo lilifanya kanuni zibadilishwe.

“Tulilazimika kutoa ufafanuzi huu kila wakati ili watu wasione kwa nini wabunge wengine wanaapishwa bungeni wengine nje ya Bunge, kanuni zetu zinaruhusu hayo mazingira na Spika akiagiza wapi kiapo kitafanyika hapo, leo tumefanyia ofisi ndogo za Bunge hapa Dar es Salaam lakini ingeweza kufanyika sehemu nyingine yoyote,” amesema Dk Tulia.

Dk Tulia amesema anaamini Balozi Kombo na wengine walioteuliwa watakwenda kufanya kazi na kuendeleza mipango ambayo imewekwa wazi na Rais ikiwemo uhusiano wa kimataifa na Afrika Mashariki.

Mhe Balozi Kombo alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia.


 


From humble beginnings as a teacher, he has ascended to the highest levels of power, now serving as Deputy Prime Minister and Minister for Energy. His story reflects not only personal triumph but also the profound impact of dedication and vision in shaping a nation's destiny.


1. Introduction.

A good teacher is like a candle, it consumes itself to light the way for others, a belief upheld by Dr. Doto Mashaka Biteko, a prominent figure in Tanzanian politics. He has emerged as a dynamic leader with a strong commitment to public service, a trait that is seen in his approach and leadership style. Biteko’s dedication to serving his community and country has made him a respected figure, earning him the trust and admiration of his constituents and Tanzanians.

His leadership and vision have been instrumental in driving positive change and development, making him a key player in shaping Tanzania’s future. Through his selfless actions and tireless efforts, Biteko demonstrates the qualities of a good teacher who sacrifices personal resources for the betterment of others. His ability to inspire and guide those around him reflects the enlightening nature of a candle, symbolizing hope, guidance, and progress in the field of politics and public service.

As Biteko continues to handle the demands of governance, his commitment to uplifting society remains strong, serving as a source of inspiration in challenging times. Just as a candle burns itself to provide light, Biteko’s servant leadership shines brightly, guiding his constituents and the country towards prosperity and growth. His selflessness and dedication show the significant impact that individuals with such qualities can have on their communities, aligning with the timeless metaphor of a teacher who sacrifices for the enlightenment and advancement of others.

2. Early Life and Education.

Born on December 30, 1978, in Ushirombo Village, Bukombe District, which was formerly part of the Shinyanga Region in Tanzania. However, in March 2012, Bukombe District was relocated and now falls under the administration of the Geita Region. Raised in a warm, family oriented environment as the youngest of six siblings, including his twin brother Masunga Kulwa Biteko, Dr. Doto Mashaka Biteko's early years were shaped by a sense of community and togetherness, instilling in him values that would later influence his approach to governance and leadership.

As a curious and inquisitive child, Dr. Biteko's thirst for knowledge was palpable from a young age. He eagerly set out on his academic journey, beginning his studies at Nyaruyeye Primary School in the Geita Region, where he completed his Certificate of Primary Education Examination (CPEE) in 1994. This foundation laid the groundwork for his future accomplishments. He then proceeded to Sengerema Secondary School, where he obtained his Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) in 1998. Following this, he pursued further studies at Katoke Teachers College, obtaining a Grade IIIA Certificate from 1999 to 2001.

Furthering his education, Dr. Biteko enrolled at Butimba Teachers College, where he earned a Certificate in Theatre Art from 2002 to 2004. He then attained higher academic qualifications at Butimba Technical, completing his Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) in 2005. His dedication to education led him to Morogoro Teachers College, where he earned a Diploma in Education from 2005 to 2007.

His academic journey did not stop there. Determined to reach new heights, Dr. Biteko enrolled at the prestigious St. Augustine University of Tanzania, where he obtained his Bachelor's in Education from 2007 to 2010, followed by a Master of Business Administration from 2011 to 2013. Alongside his Master's Degree, he completed a short course in Education Management at Renmin University of China (RUC) in 2013, indicating his dedication to skill enhancement. His pursuit of knowledge then took him to the University of Dodoma, where he attained a Doctor of Philosophy (Ph.D.) from 2016 to 2021, reinforcing his status as a lifelong learner and serving as an inspiration to many.

2.1. Personal Life.

Beyond his political career, Biteko finds joy and fulfillment in his family life, where he is happily married to Benadetha Clement Mathayo and blessed with five children. His family life speaks volumes about his character, revealing a deep commitment to serving others that extends to the love, support, and guidance he provides at home. The union with Benadetha represents their eternal love and partnership, enriched by the presence of their children.

Dr. Doto Mashaka Biteko's life is a reflection of commitment and service, stretching from his public duties to his private roles as a devoted husband and father. His family life aligns with his public persona, displaying qualities of compassion, support, and leadership. A balance that shows his ability to manage various spheres with grace. Drawing strength and inspiration from his family, combined with his experience, shapes his thoughtful and inclusive approach to governance. Biteko's integration of family values and political responsibilities paints a portrait of a well-rounded leader whose integrity, empathy, and commitment permeate every aspect of his life, showing a purposeful approach to serving not only his community but also his country.

3. Teacher's Light Shining on Others.

Dr. Doto Mashaka Biteko's foray into public service began with a teaching role in Geita from 2002 to 2013, where he devoted himself to shaping the minds of young Tanzanians. His commitment to education extended beyond the classroom when he took on the responsibility of Teacher Resource Centers Coordinator in Geita from 2009 to 2014. In this role, Dr. Biteko ensured that educators had access to the necessary support and resources, empowering them to provide quality education to their students. His efforts contributed significantly to the professional development of teachers and the improvement of educational standards in the region.

Driven by his passion for education and his desire to make a difference, Dr. Biteko continued to excel in his public service career. His leadership skills and dedication were further recognized when he served as the District Academic Education Officer (DAO) in Nyang'hwale District, Geita, from 2013 to 2015. In this capacity, he oversaw the academic development and progress of the district's schools, working tirelessly to enhance educational opportunities for students. Dr. Biteko's innovative approach and commitment to excellence were instrumental in improving the quality of education and raising academic standards in Nyang'hwale District.

Rising from District Chairman in Geita from 2010 to 2012 to Regional Chairman from 2012 to 2015, his leadership journey within the Tanzania Teachers Union (TTU) signifies his growing influence and effectiveness within the organization. His dedication to educational advocacy and union representation is clear throughout this period.

4. Political Engagement.

In his political career, Dr. Doto Mashaka Biteko has shown a strong commitment to the Chama Cha Mapinduzi (CCM) party, beginning with his early involvement in 2005 as a member of the CCM District Youth Wing Council. His focus on mobilizing and empowering youth marked his dedication to the party's principles. Advancing in leadership, he became part of the CCM National Executive Committee at the Saint Augustine University of Tanzania (SAUT) branch in 2007, drawing attention to his dedication to the party's organizational structure at the university level.

Building on his foundation of party involvement, Dr. Biteko's leadership ascended in 2012 when he assumed the crucial role of Chairman of the CCM Parents' Wing in the Geita Region. Dr. Biteko's progression within CCM shows a consistent dedication to advancing the party's values and objectives, positioning him as a respected and integral figure in regional politics.

4.1. Electoral Triumphs and Legislative Leadership.

With a dedicated commitment to serving the people of Tanzania, Dr. Doto Mashaka Biteko has built a distinguished political career. He secured an impressive victory in the Tanzania general elections of 2015, with 47,147 votes, becoming the Member of Parliament for Bukombe Constituency for a five-year term. His popularity continued to grow, leading to another resounding success in the Tanzania general elections of 2020, where he secured an even more impressive 71,640 votes for another five-year term, indicating his strong connection with constituents and their consistent support.

Earlier in his parliamentary career, from 2015 to 2018, Dr. Biteko served as a member of the Tanzanian Parliament's Steering Committee. During this time, he played a crucial role in guiding other parliamentary committees, ensuring their effective contribution to the legislative process. Simultaneously, he chaired the Energy and Minerals Committee, where his leadership significantly influenced Tanzania's energy and mineral policies. His efforts in this committee were instrumental in the development and implementation of strategies aimed at enhancing the country's energy and mineral sectors.

Outside of his parliamentary duties, Dr. Doto Biteko is deeply involved in various aspects of the Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. He actively participates in the district political committee and represents the party at the regional general assembly. Additionally, he serves on both the regional executive committee and the regional political committee, which demonstrates his dedication to the party's organizational structure. As a member of the CCM National Executive Committee (NEC), Dr. Biteko significantly influences the party's decisions and direction. These roles collectively reaffirm his crucial position within the CCM, reinforcing his status as a key figure in the party.

4.2. Bukombe District, A Gem in Geita.

It would be remiss to discuss Dr. Doto Mashaka Biteko without mentioning Bukombe, his constituency nestled in the Geita Region. Bukombe is defined by its natural allure and cultural richness, bordered by Biharamulo, Chato, Mbogwe, and Urambo Districts, Bukombe is known for its lush forests covering 76% of its land, with the remaining area dedicated to a seamless blend of agriculture, livestock keeping, and thriving settlements, contributing to its reputation for productivity and sustainability.

The district comprises three divisions, including Ushirombo, Siloka, and Bukombe, and seventeen wards. It is home to sixty four villages, three hundred forty eight hamlets, and one parliamentary constituency. The district's dynamic population is engaged in various economic activities, such as agriculture, livestock keeping, mining, and trade, all of which contribute to its thriving economy.

According to the 2022 Population and Housing Census, Bukombe District has a total population of 407,102, with 207,187 females and 199,915 males making up the population. The district's economy is primarily based on agriculture and livestock keeping, which account for 84% of residents' income. The remaining 16% comes from mining, trade, beekeeping, and other forms of economic activity, all contributing to its economy. Bukombe's picturesque landscapes, along with its rich cultural heritage, make it a jewel within the Geita Region.

5. Dr. Biteko's Ministerial Ascendancy.

In 2015, Dr. Biteko took on the role of Chairman of the Energy and Minerals Committee, where he demonstrated his exceptional leadership and commitment to advancing Tanzania's energy and minerals sector. Recognizing his dedication and capabilities, he was appointed as the deputy minister in the Ministry of Minerals in 2018, where he continued to make impactful contributions to the country's mineral resources sector. His exceptional work in the deputy role set the stage for his promotion to Minister of Minerals from 2019 to 2023. During his tenure, his strategic initiatives and policies drove the sector forward, benefiting both the industry and the nation.

Dr. Doto Mashaka Biteko's distinguished career and exceptional leadership, characterized by his humble and principled approach, led to his appointment as the Deputy Prime Minister and Minister for Energy in August 2023. In this dual role, he continues to steer Tanzania towards sustainable energy solutions and oversees key aspects of the country's development and governance, displaying his strong dedication to public service and his remarkable ability to lead in challenging environments. His journey from a dedicated teacher to a key figure in Tanzania's leadership is a clear demonstration of his resilience, vision, and commitment to serving his country and its people.

5.1. Deputy Prime Minister Position.

Under the authority of the President of the United Republic of Tanzania, as outlined in Section 36(1) of The Constitution of the United Republic of Tanzania of 1977, the establishment or abolition of any government position is permitted. This provision shows the President's flexibility in adapting governmental structures to evolving needs, without affecting other constitutional or legal provisions.

In Tanzania's political history, prominent figures like Dr. Salim Ahmed Salim and the late Augustino Lyatonga Mrema have occupied the Deputy Prime Minister position, indicating the exclusivity and significance of this role. Dr. Salim, appointed by President Ali Hassan Mwinyi, held the position from 1986 to 1989 while also serving as the Defence Minister. Similarly, Mrema held the position under President Ali Hassan Mwinyi from 1992 to 1994, concurrently managing the Home Affairs portfolio. These historical appointments indicate the crucial role of the Deputy Prime Minister in government operations and decision-making processes.

Dr. Biteko's recent appointment symbolizes President Samia Suluhu Hassan's commitment to integrating government strategies with the nation's far-reaching objectives, promoting consistency and effectiveness in the current administration. Just as his predecessors, Dr. Biteko's tenure is expected to contribute significantly to the government's efforts in addressing the country's evolving needs and priorities.

6. Patriotic Leadership.

In Bukombe Constituency, a remarkable transformation is underway, driven by the visionary leadership of Dr. Doto Mashaka Biteko. As the current Member of Parliament for Bukombe, Dr. Biteko has earned a reputation as a tireless advocate for his constituents, vigorously supporting their rights and spearheading initiatives that uplift the entire community. His dedication to public service and allegiance to the people he serves have set him apart as a catalyst for hope and progress.

From the moment he assumed office, Dr. Biteko has been a relentless force for positive change. He understands the unique challenges faced by the people of Bukombe and has made it his mission to address these issues head-on. Whether it's securing funding for critical infrastructure projects, advocating for better healthcare and education, or promoting economic growth, Dr. Biteko's efforts have had a profound impact on the lives of his constituents. His ability to listen, understand, and act has earned him the trust and admiration of the community.

6.1. Boosting the Local Economy.

One of Dr. Biteko's most significant achievements is advancing economic growth, supporting local businesses, and creating livelihoods in Bukombe. Recognizing economic empowerment as key to sustainable development, he has tirelessly stimulated economic activities. By engaging with stakeholders and advocating Bukombe's interests in Parliament, Dr. Biteko's strategic vision and commitment to economic growth, along with his effective management of the Chama Cha Mapinduzi manifesto, have positioned Bukombe as a key contributor to Tanzania’s overall development.

Dr. Biteko's leadership extends past economic development. He has been a staunch advocate for preserving the cultural heritage and values of Bukombe, instilling a sense of unity and pride among the people. His efforts to promote harmony and national unity have strengthened the social bonds of the community, creating an environment where everyone feels valued and respected. The resulting sense of inclusivity and shared purpose has been instrumental in propelling the constituency forward.

6.2. National Impact and Lasting Influence.

At the national level, Dr. Biteko's impact is significant and widely recognized. His work ethics and achievements are characterized by integrity, sincerity, and a strong commitment to the betterment of the country. He is known for his strong sense of duty and dedication to serving the people of Tanzania, prioritizing the nation's interests above personal gain, and demonstrating the qualities of true leadership. Dr. Biteko's efforts to advance policies that benefit all Tanzanians, along with his focus on unity and national cohesion, have earned him widespread praise.

As Dr. Doto Mashaka Biteko continues to lead Bukombe toward a brighter future, leaving a legacy of selfless service and transformative leadership that will inspire generations. His story is one of dedicated service, visionary thinking, and a deep love for his country and its people. For those who aspire to make a difference, Dr. Biteko's journey is a powerful example of the impact of commitment, resilience, and the belief that one person can change the world.

In Bukombe, the name Dr. Doto Mashaka Biteko is synonymous with progress, hope, and dedication. His tireless efforts to improve the lives of his constituents and his commitment to Tanzania's prosperity make him a true leader of the people. As the sun rises over Bukombe each day, it shines on a community transformed by the vision and hard work of a leader who truly cares. And as long as there are leaders like Dr. Biteko, the future of Tanzania looks incredibly bright.

7. Leadership in Action.

Dr. Doto Mashaka Biteko, in assuming the role of Deputy Prime Minister, not only outlined his commitment to following instructions and promoting cooperation but also displayed his distinctive leadership style. Addressing the staff of the Prime Minister's Office and the Prime Minister directly, he exhibited humility by requesting their kindness, guidance, and prayers, acknowledging his human limitations and expressing a genuine desire to thrive together through their collective wisdom and support. His approach displayed leadership as one that values input from all levels, showing a willingness to learn and collaborate for the greater good.

Dr. Biteko's leadership style portrays a strong belief in one's abilities and a persistent determination to overcome challenges. His words, "Ukipewa kazi yoyote ata kama ni ngumu namna gani wewe jihesabu lazima ushinde," which translates to "If you are given any job, no matter how difficult, consider yourself capable, you must succeed," encapsulate his leadership philosophy. Such an attitude is reflective of his leadership style, which encourages individuals to view challenges as opportunities for growth and success. Dr. Biteko's approach stresses self-confidence and determination, inspiring others to adopt a similar mindset.

By a strong commitment to excellence and a willingness to confront difficult tasks head-on, Dr. Biteko leads by example, demonstrating that with perseverance and hard work, any obstacle can be overcome. His leadership encourages a culture of resilience and achievement, motivating others to strive for their best and achieve their goals. With his appointment to the dual role of Deputy Prime Minister and Minister for Energy, there is a confident belief that he will execute his duties in line with his philosophical beliefs, ensuring success in his endeavors.

7.1. Energy Revolution and Milestones.

Energy sector achievements in Tanzania have reached remarkable milestones under the dynamic leadership of Dr. Doto Mashaka Biteko, who serves as both the Deputy Prime Minister and Minister for Energy. Spearheading these efforts, Dr. Biteko, alongside the visionary leadership of President Samia Suluhu Hassan, has overseen the commencement of electricity production through the Julius Nyerere Hydropower Project (JNHPP) with a capacity of 2,115 MW. This achievement not only ended power rationing but also signifies a major step towards sustainable energy development in Tanzania. By December 2024, all nine turbines are expected to be capable of producing 235 MW each, significantly contributing to the national grid.

Moreover, Dr. Doto Mashaka Biteko has overseen the completion of the Kinyerezi I Extension power plants, boasting a capacity of 185 MW, marking another significant milestone for the Ministry of Energy. This achievement is reflected in the current production of 40 MW from each of the four units, enabling the electricity produced to be fed into the national grid. Such progress significantly bolsters Tanzania's power infrastructure and enhances its overall electricity generation capacity, thereby supporting economic growth and development across the country.

Impressively, the successful completion of the Rusumo Hydropower Project, an 80 MW collaborative effort between Tanzania, Burundi, and Rwanda, is a significant step towards regional energy cooperation and development. With an equal distribution of electricity to each country, Tanzania's share of 27 MW will further augment its national grid. Remarkably, as of March 2024, a total of 4,784,297 customers have been connected to electricity, representing an increase of 9.4% compared to June 2023. Furthermore, 11,837 villages, equivalent to 96.37% of all 12,318 villages in mainland Tanzania, were connected to electricity.

The expansion of electricity transmission infrastructure to a total length of 7,745.4 kilometers, marking a 21.7% increase from 6,363.3 kilometers in 2022/2023, indicates the Ministry of Energy's commitment under Dr. Doto Mashaka Biteko's leadership to improving Tanzania's energy sector. The expansion includes the completion of 99% of the 220 Kilovolt Electricity Transmission Line Project from Morogoro to Dodoma, crucial for the operation of the Lot 2 of Tanzania's Standard Gauge Railway network, which will enhance transportation infrastructure and contribute to economic growth.

7.2. Empowering Tanzania's Energy Sector.

In Dr. Doto Mashaka Biteko's leadership as Deputy Prime Minister and Minister for Energy, the Ministry is overseeing significant projects aimed at enhancing Tanzania's energy capacity. The natural gas electricity generation project at Kinyerezi is advancing with the construction of a 19.2 kilometer, 132 kilovolt transmission line to Gongolamboto and Mbagala in Dar es Salaam, alongside transformer installations. The Ministry is also actively involved in several other energy projects, including the Malagarasi hydropower project at 49.5 MW, Ruhudji at 358 MW, Rumakali at 222 MW, the Shinyanga solar power project at 150 MW, and refurbishing machinery at the Hale Electricity Generation Plant.

In addition, the Ministry is pursuing hydropower projects, such as the Kakono water power generation project, which is set to generate 87.8 MW. Another project aims to harness the water of the Kikonge river, targeting a capacity of 321 MW. Furthermore, the Government is exploring geothermal energy opportunities, with plans for three exploratory wells in Ngozi, Mbeya, aiming to generate 30 MW, and the construction of a small power plant with a 5 MW capacity. The program also includes drilling four exploratory wells in Kiejo Mbaka, Mbeya, targeting 60 MW.

7.3. Electricity Infrastructure.

Doto Mashaka Biteko, Deputy Prime Minister and Minister for Energy, is spearheading a transformative agenda in Tanzania's energy sector. Under his leadership, the government is prioritizing the enhancement of the country's electricity infrastructure in the 2024/2025 fiscal year. A key project in this agenda is the completion of the 400 Kilovolt electricity transmission line from the Julius Nyerere Hydro Power Plant (JNHPP) to Chalinze, along with the construction of the Chalinze Electricity Substation operating at 400/220/132 Kilovolts.

These projects are crucial for stepping down and transmitting electricity from the JNHPP to the National Grid, significantly boosting its capacity and ensuring a stable power supply. Additionally, the construction of a 400 Kilovolt transmission line from Chalinze to Dodoma, spanning 345 kilometers, is underway. Once completed, this line will establish a vital link connecting the Julius Nyerere Hydropower Project to Dodoma, facilitating the distribution of electricity across the country.

Several other significant projects are also in the pipeline. These include constructing a 400 Kilovolt electricity transmission line from Chalinze to Kinyerezi to Mkuranga, as well as a 400 Kilovolt line from Chalinze to Segera and a 220 Kilovolt transmission line from Segera to Tanga. Additionally, the government plans to construct a 220 Kilovolt electricity transmission line from Chalinze to Bagamoyo, extending to Ununio, Dar es Salaam.

In Shinyanga, the Ibadakuli Electricity Substation of 400/220/33 Kilovolts is being constructed to enhance the region's electricity infrastructure. Moreover, projects such as the construction of a 400 Kilovolt electricity transmission line from Iringa to Sumbawanga through Mbeya and Tunduma and the construction of a 400 Kilovolt electricity transmission line from Nyakanazi to Kigoma are in progress.

7.4. Advancing Tanzania's Oil and Gas Sector.

The Tanzanian government is implementing various measures to oversee and develop the Emerging Oil and Gas Sector, aiming to significantly enhance its contribution to national development. Under the leadership of President Samia Suluhu Hassan, and with Dr. Doto Mashaka Biteko serving as Deputy Prime Minister and Minister for Energy, these efforts signify a commitment to sustainable development and maximizing benefits from the oil and gas sector for national growth.

To ensure that citizens benefit from investments in their areas, the government, through the Petroleum Upstream Regulatory Authority (PURA) and the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC), is preparing Corporate Social Responsibility (CSR) Guidelines for Companies in the upstream Oil and Gas Sector, in accordance with Section 222(4) of the Petroleum Act of 2015. These guidelines, expected to be completed by the end of June 2024, have involved stakeholders from regions such as Lindi, Mtwara, and the Coast Region.

In addition, the government is continuing the exploration of oil and natural gas in strategic blocks and is constructing a 34.2 kilometer pipeline to transport natural gas from the Ntorya Gas Reserve in Ruvuma to the Madimba Gas Processing Plant in Mtwara Region, with a capacity of carrying 140 million cubic feet per day. Negotiations for the Liquefied Natural Gas (LNG) Processing and Refining Project contracts are expected to be finalized to commence its execution. Moreover, efforts include the construction of Natural Gas Distribution infrastructure in regions like Dar es Salaam, Mtwara, Lindi, and the Coast Region, along with the implementation of the East African Crude Oil Pipeline (EACOP) project to transport crude oil from Hoima, Uganda, to Tanga, Tanzania.

7.5. Rural Electrification Initiatives.

In the fiscal year 2024/2025, under the leadership of Deputy Prime Minister and Minister for Energy, Dr. Doto Mashaka Biteko, in partnership with the Rural Energy Agency (REA), the government will continue its commitment to providing energy access to rural areas, aiming to drive economic growth and social progress in these regions. To achieve this, key initiatives include the electrification of 20,000 hamlets, representing a significant step towards expanding electricity coverage in rural Tanzania.

This ambitious endeavor involves a comprehensive approach, including the procurement of contractors, meticulous project design, and the commencement of infrastructure construction. Additionally, the government will prioritize completing ongoing electrification projects in the Songwe and Kigoma regions. This phase includes finalizing the construction of low-voltage electricity distribution infrastructure, installing transformers, and connecting customers to the grid, ensuring sustainable electricity access for these communities.

7.6. Clean Cooking Energy Initiatives.

In the 2024/2025 fiscal year, Tanzania is intensifying its efforts to promote the widespread use of clean cooking energy. Spearheaded by Deputy Prime Minister and Minister for Energy, Dr. Doto Mashaka Biteko, under the visionary leadership of President Samia Suluhu Hassan and the guidance of Prime Minister Kassim Majaliwa, the campaign is a collaborative effort with various stakeholders.

The government is fully committed to implementing the National Strategy for Clean Cooking Energy (NSCCE 2024-2034), which addresses critical challenges such as high costs, limited availability of clean energy infrastructure, and a lack of awareness about the health and environmental impacts of traditional cooking methods. Concurrently, the Ministry is actively overseeing the African Women Clean Cooking Support Programme (AWCCSP), which aims to empower women to adopt clean cooking solutions.

To further support clean energy initiatives, the government is continuing its distribution of improved stoves to households in rural and peri-urban areas. It is also providing subsidies to producers of alternative charcoal to help them acquire production machines. Additionally, the government is collaborating with the Prisons Department to construct cooking energy infrastructure in 211 areas and continuing the distribution of natural gas for domestic use, particularly in the regions of Dar es Salaam, Mtwara, Lindi, and the Coast Region.

8. Conclusion.

As we near the conclusion, we are reminded that leadership is more than titles or positions, it is about living by values that inspire and uplift. Dr. Doto Mashaka Biteko eloquently expressed this in his speeches, stating, "Attaining a position or title does not grant knowledge of everything; it does not mean you know everything. True knowledge comes from learning. It is unfortunate if you are selective about who you learn from; instead, learn from anyone, regardless of their position. Believe in what they can teach you, as their advice can enhance your performance, even if they are not formally educating you. Sometimes, when someone assumes a position, they believe they are the only ones who know anything, which is unfair to yourself. By doing this, you close the doors to learning and become someone who makes mistakes every day." Dr. Doto Mashaka Biteko's words serve as a powerful reminder of the importance of continuous learning and humility in leadership.

Under his stewardship, Tanzania's energy sector has witnessed unprecedented growth and development, profoundly impacting the lives of millions across the nation. Dr. Biteko's leadership, guided by President Samia Suluhu Hassan, presents a unique blend of vision, determination, and compassion, propelling the nation towards a future where energy is not just a commodity but a catalyst for widespread growth and prosperity. His commitment to rural electrification has lit up even the most remote corners of our country, empowering communities and unlocking their potential.

From the humble beginnings of Ushirombo Village to the prestigious corridors of power in Tanzania, Dr. Doto Mashaka Biteko's journey stands as proof of the boundless potential that resides within every Tanzanian. His rise from modest roots to the pinnacle of leadership is a compelling example that no dream is too big, no goal too distant, and no obstacle too great for those who persevere. Dr. Biteko's story serves as an inspiration, showing that with determination and resilience, individuals can overcome any challenge on the path to success. It is a tale that not only defines his personal journey but also reflects the spirit of Tanzania, a spirit of perseverance, aspiration, and limitless possibilities. Dr. Biteko's journey motivates us all to dream big and strive for excellence, knowing that with commitment and hard work, the sky is not the limit, but just the beginning.

As we reflect on Dr. Doto Mashaka Biteko's journey, we are reminded that his success is not just a personal triumph but a reflection of the potential within Tanzania's youth. His story is a call to action for the next generation to seize opportunities, face challenges head-on, and carve out their path towards greatness. The "Tanzanian dream" is not a distant fantasy but a tangible reality within reach. It is a dream where hard work, determination, and ingenuity open doors to a brighter future for all Tanzanians. Dr. Biteko's journey serves as a reminder that each individual has a role to play in shaping the destiny of our nation, and by harnessing their potential, Tanzania's youth can propel the country towards new heights of prosperity and success.

Thank you.

Written by Christopher Makwaia
Tel: +255 789 242 396


— The writer, is a University of West London graduate (formerly Thames Valley University) and an expert in Management, Leadership, International Business, Foreign Affairs, Global Marketing, Diplomacy, International Relations, Conflict Resolution, Negotiations, Security, Arms Control, Political Scientist, and a self-taught Computer Programmer and Web Developer.


Na Mary Margwe

Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mkoani Manyara Mh. Edward Lekaita, amemuomba Waziri wa Habari , Mawasiliano na Teknolojia ya habari Mh.Nape Nnauye kuhakikisha analipa deni la sh.Bil.18 zinazodaiwa na vyombo vya habari mbalimbali hapa Nchini

Hayo amezungumza Mei 16,2024 wakati akichangia kwenye Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari iliyowasilishwa na Waziri husika.

Mh.Lekaita amesema Wabunge wengi wamezungumziansuala la Uhuru wa vyombo vya habari na kweli Uhuru upo isipokua Kuna vyombo vya habari vinadai, hivyo Uhuru wa vyombo vya habari uhamie kwenye kulipa hayo ,adeni ya sh.bil.18.

" Nadhani ni kidogo sana, Mh.Nape wewe huwezi kushindwa kulipa sh.bil.18, mlipe ili Sasa huu Uhuru ,liowapa wakafanye kazi, bila kulipa haya madeni sasa hivi uhuru mnawapa alafu hawana pesa, hebu muwasaidie na mimi najua wewe unafanya kazi nzuri sana, na mmetuambia hapa Mh.Waziri kuwa nchi imetoka kwenye nchi zenye uhuru wa vyombo vya habari kutoka mia Moja arobaini na kitu hivi hadi kufikia 94" amesema Mh.Lekaita.

Aidha Mbunge Lekaita amesema " Kwa nchi yetu ya Tanzania yenye sifa nyingi sana bado hebu peleka tena mbele zaidi maana ni chache tunataka kwasababu kwenye ilani ya CCM nilikua nasoma hapa ukurasa wa 175 inasema habari ni moja kati ya haki msingi za binadamu, kwakua kila mwananchi anayo haki ya kutoa na kupokea habari, na kwasababu Ilani imeweka vizuri nadhani tuendelee tuwapite wengine, nchi yetu iendelee kuleta maraki huko Duniani" ameongeza Mbunge Lekaita.

Aidha pia amesema anakubaliana na Wabunge wenzake waliopita kuchangia kuwa nchi lazima ijengwe kwa kodi, ambapo amesema Ili nchi iweze kuwa na makusanyo mazuri ya Kodi lazima iondolewe mikono ya watu katika makusanyo ( Cash Money)

Aidha Lekaita amempongeza Mh.Rais Samia Suluhu Hassan kwa kusaidia Wizara hiyo, ameona pesa zimeongezeka nanubunifu pia Imeongezeka .

" Minara 758 ni mradi mzuri sana imegusa kila mahali, Manyara iko jumla ya Minara 33 kati ya hiyo 12 Iko Kiteto, na kati ya hiyo 12 Minara 6 imeshaanza kufanya kazi,

" Tunachoomba tu Mh.Waziri na nilishazungumza hapa Kiteto tulikua hatuipati Redio Tanzania ,mlakini nashukuru sana kwamba kwenye bajaeti yako kati ya Wilaya ambazo mmeweka kufikia ni Kiteto, hivyo wananchi wa Kiteto watafarijika sana kuanza kupata Redio Tanzania, waanze kufuatilia mambo ya Taifa lao Kwa ukaribu zaidi" ameongeza Mh. Edward Lekaita.


 

Na Mwandishi Wetu


BUNGE  la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeridhia  kwa kishindo na kwa asilimia mia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Bajeti ya Wizara ya Maji yenye jumla ya Shilingi 627,778,338,000 ili kwenda kutekeleza kazi na shughuli mbalimbali za Wizara ya Maji kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025.

Waziri wa Maji Jumaa Aweso (Mb) akichangia hoja hiyo kabla ya kupitishwa Bungeni amesema Wizara ya Maji imejipanga kuwa mfano kwa Tanzania kwa kutafuta vyanzo vingine vya fedha ili kuwahudumia wananchi.

Ametolewa mfano wa Hatifungani ya Kijani iliyofanikiwa kwa kiwango kikubwa kupitia Mamlaka ya Majisafi Tanga (Tanga UWASA).

Waziri Aweso ameweka wazi kuwa Wizara ya Maji ilikuwa eneo la malalamiko na kero ila hivi sasa ni neema akisema miradi ya maji iliyokwama tangu miaka ya 70 hivi sasa imekamilishwa na wananchi wanapata huduma ya maji.

 

 

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) ambae pia ni Spika wa Bunge na Mbunge wa Mbeya Mjini ,Dkt.Tulia Ackson ameambatana na Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete kuwapa pole mashabiki wa Simba waliopata ajali Machi 29 ,Vigwaza Mizani, Chalinze mkoani Pwani.

Katika ajali hiyo watu wawili walifariki dunia na wengine 25 kujeruhiwa kati ya waliojeruhiwa wanaume 18 na wanawake saba ambapo wamepatiwa matibabu katika hospital ya wilaya Chalinze huku wanne kati yao wamefikishwa hospital ya Muhimbili MOI kwa matibabu zaidi.

Tulia Ackson ametoa rambirambi yake ya sh milioni 2 na majeneza mawili kwa ajili ya kuhifadhia miili ya marehemu.
Aidha mbunge wa jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete,amechangia milioni 3.5 kwa ajili ya kulipia matibabu kwa majeruhi wote waliotibiwa Msoga hospital.

Vilevile Waziri Mkuu,Majaliwa Kassim Majaliwa amechangia milioni moja huku klabu ya Simba ikichangia matibabu ya majeruhi waliopo Muhimbili na kusimamia taratibu za kusafirisha miili na wagonjwa walioruhusiwa.

"Alipangalo mungu halina makosa tumewapoteza wenzetu wawili,na majeruhi wakiendelea na matibabu kikubwa marehemu tukawapumzishe katika Nyumba Yao ya milele salama na tuendelee kuwachangia wenzetu ambao wanaugua kwa majeraha warejee katika hali zao za kawaida"alifafanua Ackson.

Mbunge Ridhiwani Kikwete aliwapa pole majeruhi na kueleza,madeni yote yanayohitajika kulipiwa hospital ya Msoga analipia yote .

Msemaji wa Simba sports Club ,Ahmed Ally alieleza ilikuwa ni safari ya kwenda kuipigania Simba ,hivyo ni lazima kushirikiana na ndugu na Jamaa wa marehemu na majeruhi bega kwa bega.

"Umoja wetu ni nguvu,walionyesha nguvu yao,wamepata Janga wakiwa wanaitetea Simba ,hatuna budi kushirikiana,ni hii ndio nguzo ya Simba Umoja wetu kwanza ,na ajali hii isisababishe uoga kwa mashabiki kushindwa kusafiri kwenda kushabikia timu yao kwa kuogopa ajali ,kwani ajali hupangwa na mungu na inakufika popote muda wako ukifika "alisisitiza Ahmed.

Waliofariki katika ajali hiyo ni Oleison Mwakasila, anaekadiriwa kuwa na miaka 42-45, mkazi wa Kiwila mkoani Mbeya na Dereva wa gari hilo dogo aina ya kosta aitwaye Moses Mwaisela, mwenye umri kati ya miaka40-43, mkazi wa Uyole.






 

 

 

Na: Mwandishi Wetu – DODOMA


 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeridhia Mpango na Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu na taasisi zilizopo chini ya ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25.

 

Aidha, Kikao cha kamati hiyo kimefanyika leo Machi 21, 2024 bungeni jijini Dodoma kikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Fatuma Toufiq ambapo ameipongeza Wizara hiyo kwa kuandaa bajeti ambayo itawezesha utekelezaji wa majukumu sambamba na kuleta mageuzi katika sekta ya Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu.

 

Katika kikao hicho Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako ameongozana na Naibu Waziri wa ofisi yake Mhe. Patrobas Katambi pamoja na Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo, Mhe. Mhandisi Cyprian Luhemeja kuiongoza menejimenti na Wakuu wa taasisi zilizopo chini ya ofisi hiyo kuwasilisha bajeti hiyo.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Fatuma Toufiq (kushoto) akiongoza kikao cha kamati hiyo kupokea taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya ofisi hiyo kwa kipindi cha kuanzia mwezi Julai 2023 hadi Februari, 2024 na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25, kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Machi 21, 2024. Kulia ni Katibu wa Kamati hiyo Bi. Rehema Kipera.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako akifafanua jambo kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, wakati wa kikao cha kupokea taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya ofisi hiyo kwa kipindi cha kuanzia mwezi Julai 2023 hadi Februari, 2024 na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25, kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma leo tarehe 21 Machi, 2024.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi akieleza jambo kuhusu utekelezaji wa Mpango na bajeti ya ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25 wakati wa kikao hicho kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma leo tarehe 21 Machi, 2024. Katikati ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo Mhandisi Cyprian Luhemeja.Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhandisi Cyprian Luhemeja akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya ofisi hiyo kwa kipindi cha kuanzia mwezi Julai 2023 hadi Februari, 2024 na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25, kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, leo Machi 21, 2024, Bungeni jijini Dodoma.


Menejimenti ya Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu na Wakuu wa Taasisi zilizopo chini ya ofisi hiyo wakifuatilia maelezo wa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii baada ya kupokea taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya ofisi hiyo kwa kipindi cha kuanzia mwezi Julai 2023 hadi Februari, 2024 na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25, kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, leo Machi 21, 2024, Bungeni jijini Dodoma.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako akizungumza na Menejimenti pamoja na Wakuu wa Taasisi zilizopo chini ya ofisi hiyo Bungeni, Jijini Dodoma leo Machi 21, 2024 baada ya kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya ofisi hiyo kwa kipindi cha kuanzia mwezi Julai 2023 hadi Februari, 2024 na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25, kwa Kamati hiyo.

  

 

 

Meneja wa Barrick nchini Tanzania, Melkiory Ngido (katikati) akitoa ufafanuzi katika kikao na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ilipotembelea mgodi wa Barrick North Mara ,(kushoto) ni Meneja wa mgodi wa North Mara, Apolinary Lyambiko,(kulia) ni Meneja wa Mahusiano ya Jamii wa mgodi huo Francis Uhandi.

Na Mwandishi Wetu

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imetembelea Mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo wilayani Tarime na kutoa ushauri wa kuboresha sekta ya madini ili iweze kuwanufaisha wananchi na taifa kwa ujumla. Pia ilipongeza kampuni hiyo kwa kufanya uwekezaji mkubwa wenye tija na ufanikishaji wa miradi ya kijamii kupitia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR) sambamba na kuendeleza mahusiano na wananchi wanaoishi kwenye maeneo yanayozunguka mgodi.

Ziara ya Kamati hiyo iliyoongozwa na Mwenyekiti wake, Mh. David Mathayo David. Awali wajumbe wa Kamati hiyo walipata maelezo kuhusu shughuli za uendeshaji wa mgodi huo kabla ya kutembelea sehemu mbalimbali, ikiwemo eneo la majitaka, kinu cha kuchenjua dhahabu na baadhi ya miradi ya kijamii iliyotekelezwa kutokana na fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR) katika vijiji vilivyo jirani na mgodi wa North Mara.

Baadhi ya miradi hiyo ni Shule ya sekondari Matongo, mradi mkubwa wa maji wa Nyangoto na ule wa kilimo biashara unaoendeshwa na vijana katika kijiji cha Matongo.

Akiongea kwa niaba ya kamati baada ya kumaliza ziara hiyo, Dk.David Mathayo alisema “Kwa muda mfupi mmebadilisha mazingira ya mgodi huu. Mnatunza mazingira vizuri, wabunge wamefurahi - na kwa niaba yao ninawapongeza, endeleeni kuwa watunzaji wazuri wa mazingira kwa usalama wa wananchi wetu.”
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, David Mathayo David, akizungumza wakati wa ziara ya kikazi ya kamati hiyo katika mgodi wa Barrick North Mara (kushoto) ni Naibu Waziri wa Madini,Mh.Stephen Kiruswa na (kulia) ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mtanda.
--
Pia Kamati hiyo iliipongeza Barrick kwa kuendelea kuwa mfano mzuri katika ulipaji wa kodi mbalimbali serikalini, pamoja na utoaji wa mabilioni ya fedha za kugharimia utekelezaji wa miradi ya kijamii kupitia mpango wake wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR).

“Kwenye kampuni kubwa za kibiashara ninyi [Barrick] mnaongoza kwa kulipa kodi na kutoa gawio kwa Serikali,” Mathayo alisema katika sehemu ya hotuba yake ya kuhitimisha ziara hiyo.

Kamati hiyo pia ilieleza kuridhishwa na jinsi Kampuni ya Barrick Gold inavyotekeleza Sheria ya ‘Local Content’ na hivyo kuwezesha Watanzania wengi wakiwemo wazawa wanaoishi jirani na migodi yake kunufaika na uwekezaji wake kupitia biashara na ajira, miongoni mwa mambo mengine.
Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wakiangalia utunzaji wa mazingira walipofanya ziara ya kikazi katika mgodi wa Barrick North Mara jana.
---
Nao baadhi ya Wabunge wa kamati hiyo walipongeza Barrick kwa kuendelea kuleta mapinduzi kupitia uwekezaji mkubwa wa sekta ya madini nchini na walishauri mgodi uangalie uwezekano wa kuwasaidia wachimbaji wadogo ili wajikwamue kiuchumi kwa kuwapatia baadhi ya maeneo wachimbaji hao.

Akiongea wakati wa ziara hiyo, Naibu Waziri wa Madini, Mh.steven Kiruswa ,alitoa wito kwa wadau waliopo kwenye sekta ya madini kuzingatia sheria na kanuni zilizowekwa na Serikali ikiwemo kanuni inayohusiana na mgawanyo wa fedha za Uwajibikaji kwa jamii (CSR) na ushirikishwaji wa wazawa wa Tanzania katika shughuli za Mnyororo wa madini (Local content).

‘’Pamoja na changamoto tulizozisikia kutoka kwa viongozi wa wananchi wa eneo hili linalozunguka mgodi, natoa pongezi kwa kampuni ya Barrick kwa uendeshaji migodi yake nchini kwa weredi, uwazi na kuchangia pato la Taifa kupitia kodi, sambamba na kuleta maendeleo kwa wananchi kupitia miradi inayotekelezwa kwa fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR).
Baadhi ya wabunge kutoka Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wakifuatilia maelezo kutoka kwa watendaji wa Barrick wakati walipotembelea mgodi wa North Mara
Diwani wa kata ya Nyamwaka, Mwita Marwa Magige akizungumza wakati wa kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini katika mgodi wa Barrick North Mara
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wakikagua mradi wa kilimo biashara ulioanzishwa na mgodi wa Barrick North Mara kwa ajili ya kuwawezesha wananchi wanaoishi jirani na mgodi huo katika kijiji cha Matongo.
---
Meneja wa Barrick nchini Tanzania, Melkiory Ngido, aliwashukuru wajumbe wa kamati hiyo kwa kutembelea mgodi huo na kuahidi kuwa maoni na ushauri uliotolewa na wajumbe yatafanyiwa kazi “Barrick siku zote tutahakikisha tunaendesha shughuli zetu kwa uwazi na kufuata sheria na kanuni zilizowekwa na Serikali”,alisisitiza.

Awali akitoa maelezo kuhusiana na shughuli za kampuni, Melkiory Ngido ,alisema Barrick kupitia migodi yake ya North Mara na Bulyanhulu imewekeza hapa Tanzania shilingi zaidi ya trilioni sita, na kwamba kati ya kiasi hicho, Serikali imepokea trilioni tatu ambazo zimelipwa kwa mifumo wa kodi na gawio tangu mwaka 2019 ilipokabidhiwa na kuanza kuendesha migodi hiyo kwa ubia na Serikali ya Tanzania kupitia Kampuni ya Twiga Minerals.

Kuhusu mgodi wa North Mara, Ngido alisema: “Huu mgodi ulitakiwa kuisha [kufika kikomo] mwaka 2026 lakini kwa juhudi za uwekezaji na za kitaalamu utaenda hadi miaka 15 ijayo - utafika hadi mwaka 2039.”

Ngido, alisema Barrick kupitia mpango wake ujulikanao kama The Barrick-Twiga Future Forward Education Programme, imetoa Dola za Kimarekani milioni 30 sawa na shilingi takriban bilioni 70 kwa ajili ya kusaidia uboreshaji wa miundombinu ya shule za sekondari za juu upande wa mabweni na madawati, miongoni mwa mambo mengine katika maeneo mbalimbali nchini.

“Mradi huu upo chini ya TAMISEMI na sisi kama Twiga na Barrick tunafurahi kuunga mkono juhudi za Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, ili watoto wote waende A level (high school) na wasome katika mazingira rafiki,” alisema, Ngido.

Kamati hiyo ya Bunge pia ilielezwa kuwa asilimia 96 ya wafanyakazi takriban 3,000 wa Mgodi wa North Mara ni Watanzania, na kwamba juhudi za kuongeza idadi ya wafanyakazi wanawake zinaendelea.

Wakati huo huo, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeiagiza Serikali ya mkoa kumaliza tatizo la uvamizi katika mgodi wa North Mara unaofanywa na makundi ya watu (intruders) mara kwa mara kwa lengo la kuiba mawe yenye dhahabu.

“Uwekezaji huu ulindwe, hivi mpaka watu wanabeba mapanga na kuvamia mgodi, vyombo vyetu [vya ulinzi na usalama] vinakuwa wapi, vyombo visaidie kutatua tatizo hili (uvamizi mgodini) kwa sababu tunajirudisha nyuma wenyewe na tunaharibu taswira ya nchi yetu kwa wawekezaji,” alionya Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mathayo.

Kwa upande mwingine, Kamati hiyo imeagiza Serikali ngazi ya wilaya na mkoa kumaliza malalamiko ya wananchi kuhusu mchakato unaotumika katika uthaminishaji wa ardhi inayohitajika kwa ajili ya upanuzi wa shughuli za mgodi wa North Mara.

Baadhi ya viongozi waliofuatana na Kamati hiyo katika ziara hiyo ni Naibu Waziri wa Madini, Dkt Steven Kiruswa, Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mohamed Mtanda, Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Kanali Michael Mntenjele, Madiwani na Wenyeviti wa vijiji kutoka Kata tano zenye vijiji 11 vilivyo jirani na mgodi wa Noth Mara.

Migodi ya dhahabu ya North Mara na Bulyanhulu inaendeshwa na Kampuni ya Barrick kwa ubia na Serikali ya Tanzania kupitia Kampuni ya Twiga Minerals.


MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akichangia Miswada ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023,Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa Mwaka 2023 na Muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa wa mwaka 2023 bungeni jijini Dodoma.

Na.Mwandishi Wetu-DODOMA

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameeleza mambo manne yaliyopendekezwa kwenye miswada mitatu ya Sheria zinazodhamira kuleta mageuzi kwenye uchaguzi na kisiasa ikiwemo uwepo wa kamati ya usaili inayoongozwa na Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jaji Mkuu wa Zanzibar.

Miswada hiyo ni Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023,Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa Mwaka 2023 na Muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa wa mwaka 2023.

Akichangia miswada hiyo Januari 30,2024,bungeni Jijini Dodoma,Mtaturu amesema eneo la Tume Huru ya Uchaguzi lilikuwa linapigiwa kelele na wadau wengi na Rais Samia Suluhu Hassan ameliona hilo na kuridhia mabadiliko hayo.

“Ni Marais wachache wenye nguvu ambao wanaweza kukubali baadhi ya mambo yake yafanywe na watu wengine,Mhe.Rais wetu amekubali kwamba kuwe na Kamati ya Usaili ambayo itamsaidia kuwachuja watu,kamati ambayo imebeba watu waaminifu wa level ya juu kabisa ambao wataenda kufanya kazi hiyo kwa niaba ya Mh Rais."

“Kamati hii ya Usaili ambayo imetajwa tusipoiamini tutamuamini nani, maana yake ni kwamba tutakapokuwa tumekubali Sheria hii tutakuwa tumekubali Kamati hii ya Usaili itakayomsaidia sana Mh Rais kuondoa maneno ambayo yamekuwepo kwamba amekuwa akiteua peke yake,jambo ambalo sio kweli kwak uwa Rais ni taasisi lakini sasa amekubali,hivyo Kamati itateua au kupendekeza majina matatu na yatapelekwa kwa Rais,”amesema.

Jambo la pili alilochangia ni kuhusu sifa za viongozi wa Kamati ya Usaili ambao kupitia Sheria hiyo wanatakiwa kuwa majaji na kusisitiza kuwa Sheria hiyo ikipitishwa watakuwa na Tume Bora ya Uchaguzi ambayo itaenda kuwa na jibu la manung’uniko yaliyoliyokuwepo siku za nyuma.

Mtaturu ametaja jambo la tatu ni kuhusu wagombea kupita bila ya kupingwa ambapo mwanzoni kulikuwa na kelele lakini kupitia sheria hiyo kelele hizo zimesikilizwa.

“Viongozi wengi wameeleza kuwa haiwezekani kukawa na mgombea mmoja akapita bila ya kupingwa hivyo kupitia hii sheria akitokea mgombea mmoja lazima apigiwe kura ya ndio ama hapana ili kuamua ama kubariki kuwa huyu sasa amechaguliwa kwa kupiga kura,”amesema.

Amesema hatua hiyo itaondoa hofu ile iliyokuwepo mwanzoni kwamba watu wanapitishwa tu ili waende wakawe viongozi bila ya kuwa na ruhusa kutoka kwa wananchi.

Jambo la nne ni kuhusu Usawa wa Kijinsia ambalo limezingatiwa katika Sheria ili kuondoa manyanyaso yaliyokuwepo katika baadhi ya meneo.

“Baadhi ya wanawake wazuri katika maeneo fulani fulani lakini wameshindwa kuchaguliwa kwa sababu tu ni wanawake,lakini kumekuwa na mfumo dume katika maeneo ya jamii yetu ambayo hayaamini katika mwanamke kuwa kiongozi kwa hiyo kupitia Sheria hii itavilazimisha vyama vya siasa kuweka wagombea ambao ni wanawake au kama walivyosema wengine hata wanaume ambao hawakubaliki,”.amesema Mtaturu.

Amewaomba watanzania kuiunga mkono serikali na kuipitisha miswada hiyo ambayo itaimarisha demokrasia nchini.

KILA mtu amekuwa akiwa kupambana na maisha, vijana wengi wanawake kwa wanaume wako busy na harakati za mjini, kuna wengine ni wazee wa mishemishe yote kwa yote ili mkono uende kinywani. Sasa ngoja nikusogezee chimbo moja wapo linaloweza kukupatia mkwanja kila muda unapohitaji, ni ulimwengu maridhawa wa kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet.

Kwenye ulimwengu huo utakutana na mchezo wa sloti wa Wild Spin ni moja kati ya michezo mingi ya kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtayarishaji Platipus. Mchezo huu utakupatia zawadi nyingi na bonasi kibao ya mizunguko ya bure. JISAJILI MERIDIANBET ufurahie michezo mingi ya kasino ya mtandaoni.

USHINDI WA WILD SPIN KASINO YA MTANDAONI.
Wild Spin ni mchezo wa sloti wenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari mitatu na mistari 25 ya kudumu. Ili kupata ushindi wowote, unahitaji kuunganisha alama tatu au zaidi zenye kufanana kwenye mstari.

Kila muunganiko wa ushindi, isipokuwa ile yenye alama za “scatter,” hugawiwa kutoka kushoto kwenda kulia kulingana na nguzo zilizopo.

Unaweza kupata ushindi mmoja kwenye mstari mmoja. Ikiwa una kombinasheni kadhaa za ushindi kwenye mstari mmoja, utalipwa kombinesheni yenye thamani kubwa Zaidi unapoibuka mshindi wa mchezo huu wa kasino ya mtandaoni WILD SPIN.

Inawezekana kuongeza thamani ya ushindi kwa kuziunganisha kwenye mistari kadhaa kwa wakati mmoja.

Ndani ya eneo la “Bet,” kuna menyu inayokuwezesha kubadilisha thamani ya dau kwa mstari. Utaweza kuona thamani ya dau kwa mzunguko kwenye eneo la “Total Bet.”

Pia, kuna chaguo la “Autoplay” unaloweza kuwasha wakati wowote. Kupitia chaguo hili, unaweza kusanidi hadi mizunguko 100.

Ikiwa unapenda mchezo wenye kasi zaidi, unaweza kuanzisha mizunguko ya haraka kwa kubofya eneno lenye picha ya mshale wa mara mbili. Unaweza kurekebisha viwango vya sauti upande wa chini kushoto chini ya nguzo.

Alama za Ushindi Kwenye Wild Spin Kasino ya Mtandaoni.
Mchezo huu wa kasino ya mtandaoni una alama nyingi za ushindi kama vile; 9, 10, J, Q, K, na A. Ambapo kadi hizi hugawanywa katika vikundi viwili kulingana na nguvu zao za malipo.

Alama tano zilizobaki zinachukuliwa kuwa alama za kulipa kati, yaani, pamoja na alama ya tunda la plum na tunda la cherry.

Kengele ya Dhahabu na alama ya Bar hulipa kwa njia ile ile kama alama ya tunda la cherry. Ikiwa utaunganisha alama tano hizi kwenye kombinesheni ya ushindi, utashinda mara 200 ya dau kwa mstari.

Alama ya msingi zaidi ya mchezo, kama katika michezo mingi ya kawaida, ni alama ya 7 bahati. Ikiwa utaunganisha alama tano za namna hii kwenye kombinesheni ya ushindi, utashinda mara 300 ya dau kwa mstari.

Alama ya “wild” inawakilishwa na nembo ya “Wild.” Inachukua nafasi ya alama zote, isipokuwa “scatter,” na kuwasaidia kuunda kombinesheni ya ushindi.

Michezo ya Bonasi
Alama ya “scatter” inawakilishwa na nembo ya dola. Hii ndiyo alama pekee inayolipa popote inapojitokeza kwenye nguzo. Alama tano za “scatter” zitakulipa mara 100 ya dau lako.

Alama tatu au zaidi za scatter huleta mizunguko ya bure kulingana na sheria zifuatazo:
Alama tatu za “scatter” – mizunguko 10 ya bure
Alama nne za “scatter” – mizunguko 15 ya bure
Alama tano za “scatter” – mizunguko 25 ya bure

NB: Meridianbet ukijisajili tu unapata bonasi kibao za kasino ya mtandaoni na pia kila mechi inatoa odds kubwa PIGA *149*10# AU tembelea tovuti yao meridianbet.co.tz