Mkoa wa Magharibi
Katibu
wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Cde Shaka Hamdu
Shaka amejumuika pamoja na wanachama wa Tawi la CCM Buyu Pwani, Mkoa wa
Magharibi, Wilaya ya Dimani katika uchaguzi wa kuwachagua Mwenyekiti wa
shina No 4 na wajumbe wa kamati ya Uongozi shina hilo.
CCM Imara, Shiriki Uchaguzi kwa Uadilifu
#ChamaImara
#KaziIendelee

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...