Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu kutoka Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bi. Teddy Njau akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa Wizara ya Habari, Mawasiiano na Teknolojia ya Habari kuhusu mradi wa Tanzania ya kidijitali, Mafunzo hayo yanafanyika katika Hoteli ya Masai land Jijini Arusha leo Mei 26, 2022

Mratibu wa Mradi wa Tanzania ya Kidijitali Honest Njau akiwasilisha mada kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Mawasiiano na Teknolojia ya Habari kuhusu mradi wa Tanzania ya kidijitali, Mafunzo hayo yanafanyika katika Hoteli ya Masai land Jijini Arusha leo Mei 26, 2022
Watumishi wa Wizara ya Habari, Mawasiiano na Teknolojia ya Habari wakifuatilia wasilisho kuhusu mradi wa Tanzania ya kidijitali, Mafunzo hayo yanafanyika katika Hoteli ya Masai land Jijini Arusha leo Mei 26, 2022

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...