Mratibu wa Mradi
wa Tanzania ya Kidijitali Honest Njau akiwasilisha mada kwa watumishi
wa Wizara ya Habari, Mawasiiano na Teknolojia ya Habari kuhusu mradi wa
Tanzania ya kidijitali, Mafunzo hayo yanafanyika katika Hoteli ya Masai
land Jijini Arusha leo Mei 26, 2022
Watumishi wa Wizara ya Habari, Mawasiiano na Teknolojia ya Habari
wakifuatilia wasilisho kuhusu mradi wa Tanzania ya kidijitali, Mafunzo
hayo yanafanyika katika Hoteli ya Masai land Jijini Arusha leo Mei 26,
2022
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...