



Mhandisi kutoka Shirika la Reli Tanzania (TRC), Isaya Samweli, akifafanua kwa Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Madiwani wa Busokelo, Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya kuhusu miundombinu ya reli katika stesheni ya Dodoma, wakati walipotembelea reli hiyo jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...