Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) komredi Daniel Chongolo, ameendelea kutoa msisitizo kwa Wizara ya Maliasili na Utalii kushughulikia Tembo Wavamizi wa mazao ya Wananchi mkoani Simiyu.

Ametoa kauli hiyo leo June 02, 2022 wakati alipowasili katika Wilaya Itilima mkoani Simiyu ukiwa ni muendelezo wa ziara yake yenye lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025 katika mikoa ya Shinyanga na Simiyu.

Akizungumza katika kata ya Nkoma, komredi Chongolo amesema Wizara ya maliasili na Utalii ni lazima ihakikishe inaleta Suluhu ya kudumu kukomesha Changamoto ya Uvamizi wa Tembo kwenye Mashamba na Makazi ya Wananchi.











Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...