Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari  Mvumi   wilayani Chamwino, Dodoma, kwenye  viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 10, 2022. Wanafunzi hao walikwenda Bungeni kwa ziara ya mafunzo. Kushoto kwake ni Mbunge wa Mvumi, Livingstone Lusinde. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mvumi, Livingstone Lusinde pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari  Mvumi,  wilayani Chamwino, Dodoma kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 10, 2022. Wanafunzi hao walikwenda Bungeni kwa ziara ya mafunzo.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...