Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 29 Juni 2022 akifanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Singapore Mheshimiwa Dkt. Vivian Balakrishnan, mazungumzo yaliofanyika Lisbon nchini Ureno yaliolenga kuongeza ushirikiano baina ya mataifa hayo mawili hususani katika sekta ya usafirishaji wa majini, biashara pamoja bandari.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...