Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto)  akisalimiana na Jaji wa Mahakama ya haki wa za Binadamu  Jaji Imani D. Daudi (katikati) wakati alipowasili katika Viwanja vya Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar Kufungua Kongamano la Mahakama za Kikanda na Kitaifa Barani  Afrika. [Picha na Ikulu] 27/06/2022.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Jaji wa Mahakama ya haki wa za Binadamu  Jaji Imani D. Daudi (katikati) wakifuatana na Viongozi wengine wakielekea katika Ukumbi wa Mikutano katika Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar Kufungua Kongamano la Mahakama za Kikanda na Kitaifa Barani  Afrika.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) pamoja na Viongozi wengine wakisimama wakati Wimbo wa Taifa kabla ya Ufunguzi wa Kongamano la Mahakama za Kikanda na Kitaifa Barani  Afrika,leo katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar, (kulia) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa.

Baadhi ya Washiriki katika Kongamano la Mahkama za Kikanda na Kitaifa Barani  Afrika,wakisikiliza kwa makini hotuba ya Ufunguzi iliyotolewa  na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika  ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar leo.
Jaji wa  Mahkama ya haki  Afrika Mashariki Mhe,Jaji Nestor Kayobera alipokuwa akisema machache na kumkaribisha  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi  Kufunguwa  Kongamano la Mahakama za Kikanda na Kitaifa Barani  Afrika, hafla iliyofanyika leo katika  ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akitoa hutuba yake ya Ufunguzi wa  Kongamano la Mahakama za Kikanda na Kitaifa Barani  Afrika,katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar, (kutoka kulia) Jaji wa  Mahakama ya haki  Afrika Mashariki Mhe,Jaji Nestor Kayobera,Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora mhe,Haroun Ali Suleiman na Jaji Mkuu Mteule Mhe.Jaji Khamis Ramadhan Abdalla.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...