Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli (wa pili kushoto) , Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Sitholizwe Mdlalose (kushoto) Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi, Bakari Machumu na Mkuu wa idara ya mambo ya intaneti na akili bandia (IOT & Internet of things) Vodacom, Yvonne Bayona wakiwa wameshika mfano wa hundi iliyotolewa na kampuni ya Vodacom kwa Mwananchi communications kwa ajili ya kusaidia kuwaunganisha wakulima nchini na mpango wa Farm Clinic ili kupata taarifa za kilimo kidijitali na kusaidia wakulima kufanya malipo kwa kutumia M-Pesa.




Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Sitholizwe Mdlalose akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano ya hundi yenye thamani ya shilingi millioni 100 kati ya kampuni za Vodacom na Mwananchi communications kwa ajili ya kusaidia kuwaunganisha wakulima nchini na mpango wa Farm Clinic ili kupata taarifa za kilimo kidijitali na kusaidia wakulima kufanya malipo kwa kutumia M-Pesa.



Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano ya hundi yenye thamani ya shilingi millioni 100 kati ya kampuni za Vodacom na Mwananchi communications kwa ajili ya kusaidia kuwaunganisha wakulima nchini na mpango wa Farm Clinic ili kupata taarifa za kilimo kidijitali na kusaidia wakulima kufanya malipo kwa kutumia M-Pesa.



Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi, Bakari Machumu akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano ya hundi yenye thamani ya shilingi millioni 100 kati ya kampuni za Vodacom na Mwananchi communications kwa ajili ya kusaidia kuwaunganisha wakulima nchini na mpango wa Farm Clinic ili kupata taarifa za kilimo kidijitali na kusaidia wakulima kufanya malipo kwa kutumia M-Pesa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...