RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la  Mapinduzi  Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mariam Mwinyi  wamejumuika na Viongozi mbalimbali katika hafla ya chakula cha jioni walichoandaliwa na mwenyeji wao Rais wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye na Mkewe Angeline Ndayubaha Ndayishimiye, Ikulu Bujumbura.

Rais Dk. Mwinyi yupo nchini Burundi akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru wa Jamhuri ya Burundi zitakazofanyika  tarehe: 01 Julai, 2022.























Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...