Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule aakizungumza kuhusu maandalizi ya Sensa ya Watu na Makazi inayotarajiwa kufanyika kuanzia Agosti 23, 2022 yamekamilika kwa asilimia 98, ambapo pia amezindua namba maalumu ya ya bure ya kuwasiliana na wananchi kwa lengo la kutatua kero mbalimbali wakati wa zoezi la sensa. Amefanya uzinduzi huo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Agosti 21, 2022.
Wanahabari wakisikiliza kwa makini wakati wa mkutano huo.



PICHA NA RICHARD MWAIKENDA


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203 Attachments area

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...