Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akisalimiana na Mama Fatma Karume alipomtembelea nyumbani kwake Bumbwini Zanzibar, ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango alioutoa katika taifa.



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwasilisha salamu za Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa Mama Fatma Karume alipomtembelea nyumbani kwake Bumbwini Zanzibar, ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango alioutoa katika taifa.



Mama Fatma Karume (katikati) akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama na watendaji alioambatana nao, wakati waziri huyo alipomtembelea nyumbani kwake Bumbwini Zanzibar ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango alioutoa katika taifa.



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama na baadhi ya watendaji wa ofisi yake, wakimsikiliza Mama Fatma Karume (hayupo pichani) walipomtembelea nyumbani kwake Bumbwini Zanzibar.



Mama Fatma Karume akimuonesha shamba lake la migomba Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama, mara baada ya waziri huyo kumtembelea nyumbani kwake Bumbwini Zanzibar.



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Fatuma Karume mara baada ya kumtembelea nyumbani kwake Bumbwini Zanzibar, ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango alioutoa katika taifa.



Mama Fatma Karume akimsindikiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama, mara baada ya waziri huyo kumtembelea nyumbani kwake Bumbwini Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...