Alifanya vizuri na kazi kadhaa ikiwemo Check and Balance, Mj, Complete me ,Move pamoja na Have Fun lakini hivi karibuni ameachia wimbo wake uitwao Iz going unaoendelea kufanya vizuri katika mahadhi ya Afro beat akiwa anawakilisha nchini Nigeria.

Bad Boy Timz ni moja kati ya msanii anayefanya vizuri nchini Nigeria huku akiwa anakuja vizuri zaidi kuliteka soko la muziki kimataifa zaidi.

Timz ana mpango wa kuachia kazi mpya hivi karibuni ikiwa imeambatana na zawadi nyingine kubwa zaidi kwa mashabiki zake kwa maelezo zaidi fuatilia ukurasa wake wa instagram pamoja na kufanya ku subscribe kupitia chaneli yake ya youtube.@badboytimz

Tazama Video ya Is Going ya Bad Boy Timz



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...