Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndugu Abdulrahman Kinana  amesaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia Kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza , Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo Septemba 12, 2022.

Picha mbalimbali zikionesha Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndugu Abdulrahman Kinana  akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania David Concar mara baada ya kusaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia Kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza , Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo Septemba 12, 2022.
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndugu Abdulrahman Kinana  akiagana na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania David Concar mara baada ya kusaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia Kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza , Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo Septemba 12, 2022.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...