Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Mhe. Ngassa Mboje akiongoza Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022 uliofanyika leo Jumatano Septemba 28,2022 katika ukumbi wa makao makuu ya halmashauri hiyo Iselamagazi. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga Mhe. Nicodemus Simon.


Katika mkutano huo, Waheshimiwa Madiwani wameruhusu Mchakato wa ufungaji wa Ripoti za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022 zilizoishia Juni 30,2022 uendelee kwa ajili ya kuwasilisha katika Ofisi ya Ukaguzi ya Taifa.


Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Mhe. Ngassa Mboje akizungumza kwenye Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Mhe. Ngassa Mboje akizungumza kwenye Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Stewart Makali akizungumza kwenye Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Mweka Hazina wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, Rumoka akitoaa Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ukiendelea

Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Mkutano ukiendelea

Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022


Katibu Tawala wilaya ya Shinyanga, Boniphace Chambi akitoa salamu kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Katibu wa CCM wilaya ya Shinyanga Vijijini, Erinestina Richard akitoa salamu kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Vijijini, Edward Ngelelaakitoa salamu kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022




Wadau na wakuu wa Idara na Vitengo Halmashauri ya Shinyanga wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022.


Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...