Waziri Mkuu, Kassim Majaliiwa akizungumza na wakulima wa tumbaku wa Urambo, viongozi wa Vyama vya Vikuu vya Ushirika  na viongozi wa AMCOS wilayani humo  kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Urambo mkoa wa Tabora Septemba 9, 2022.


Baadhi  ya wakulima wa tumbaku wa Urambo, viongozi wa Vyama vya Vikuu vya Ushirika  na viongozi wa AMCOS wilayani humo wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipozungumza katika mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Urambo mkoa wa Tabora Septemba 9, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliiwa akisalimiana na viongozi wakati alipowasili kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Urambo mkoa wa Tabora kuzungumza na wakulima wa tumbaku wa Urambo, viongozi wa Vyama Vikuu vya Ushirika na viongozi wa AMCOS wilayani humo, Septemba 9, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...