Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwashukuru wauguzi kutoka Hospitali ya Mtakatifu Benedict Ndanda ambao walishiriki katika Programu ya Afya Check iliyotoa huduma ya kupima, kutibu na kutoa ushauri wa afya bure kwa wananchi kwa muda wa wiki moja, katika uwanja wa Likangala kwenye halmashauri ya wilaya ya Rungwa, Septemba 11, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...