Muonekano wa Barabara ya kuruka na kutua ndege yenye urefu wa Kilomita 1850 katika Kiwanja cha Ndege cha Kilwa.
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Atupele Mwakibete akimsikiliza Ofisa Ulinzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Theophil Kaiza kuhusu shughuli za utendaji wa bandari ya Kilwa Masoko wakati Naibu Waziri alipotembelea bandari hiyo Wilayani Kilwa Mkoani Lindi.
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Atupele Mwakibete akitoa maelekezo kwa Ofisa Ulinzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Theophil Kaiza (wa kwanza kushoto) wakati alipotembelea bandari ya Kilwa Mkoani Lindi. Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Zainab Kawawa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...