Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakati akiagana na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama alipokuwa akiondoka leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kuelekea Jijini Dar es Salaam ambapo kesho atahudhuria katika Kikao cha Kamati Kuu ya CCM,kitakachofanyika ukumbi wa Ofisi ya CCM Lumumba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akiagana na Makamo wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe.Hemedi Suleiman leo alipoondoka kuelekea Jijini Dar es Salaam ambapo atahudhuria katika Kikao cha Kamati Kuu ya CCM,kitakachofanyika kesho katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Lumumba.[Picha na Ikulu.] 06 sept 2022.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...