Posey alisema Coolio alikufa Jumatano alasiri. Maelezo juu ya mazingira hayakupatikana mara moja. Ila Kapteni Erik Scott wa Idara ya Zimamoto ya Los Angeles alithibitisha kuwa wazima moto na wahudumu wa afya waliitikia wito kwenye Nyumba Namba 2900 block ya South Chesapeake Ave saa 4 asubuhi hiyo Jumatano kufuatia wito za dharura ya matibabu.
"Walipofika, walimkuta mwanamume aliyezirai na wakafanya “jitihada za kumfufua kwa takriban dakika 45. Ilishindikana. Mgonjwa huyo "alitangazwa kuwa amekufa kabla ya saa 5:00 usiku," Scott alisema.
"Tuna huzuni kwa kumpoteza rafiki na mteja wetu mpendwa, Coolio, ambaye amefariki mchana wa leo," taarifa kutoka kwa meneja wa vipaji wa Coolio Sheila Finegan ilisema.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...