Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga (wa nne kulia) akikabidhi vifaa vya kuhifadhia takataka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC, Prof. Gileard Masenga, vilivyotolewa na benki hiyo ikiwa ni moja ya matukio kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja ya Absa, mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro Leo.



Meneja wa Benki ya Absa Tawi la Moshi, Pendo Abdallah akizungumza katika Kanisa la Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC, katika hafla ya kukabidhi vifaa vya kuhifadhia takataka vilivyotolewa na benki hiyo, ikiwa ni sehemu ya madhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja, hospitalini hapo, mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro leo.



Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga akizungumza katika Kanisa la Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya kuhifadhia takataka vilivyotolewa na Absa ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja, hospitali hapo, mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro leo.



Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga, baadhi ya wafanyakazi wa Absa na watumishi wa Hospitali ya KCMC, wakipiga picha ya kumbukumbu katika hafla ambayo, Absa ilikabidhi msaada wa vifaa vya kuhifadhia takataka ikiwa ni sehemu ya matukio kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja ya benki hiyo mjini Moshi, Kilimanjaro Leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...