Msimamizi wa Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya SBC Tanzania, Fadi El-Khalil akifurahi pamoja na wanafunzi wa darasa la saba wa Shule ya Msingi Kihonzile iliyopo Bunju, jijini Dar es salaam wakati wa mahafali ya kwanza ya shule hiyo yaliyofanyika hivi karibuni. Kampuni ya SBC Tanzania kupitia kinywaji chake cha Pepsi ilidhamini wa shughuli hiyo kwa kupeleka vinywaji.  Wanafunzi wa Darasa la Saba nchini kote walimaliza jana mtihani wao wa Taifa. Kulia ni Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya SBC Tanzania, Dorris Malulu.
Msimamizi wa Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya SBC Tanzania, Fadi El-Khalil akiimba pamoja na wanafunzi wa darasa la saba wa Shule ya Msingi Kihonzile iliyopo Bunju, jijini Dar es salaam wakati wa mahafali ya kwanza ya shule hiyo yaliyofanyika hivi karibuni. Kampuni ya SBC Tanzania kupitia kinywaji chake cha Pepsi ilidhamini wa shughuli hiyo kwa kupeleka vinywaji. Kulia ni Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya SBC Tanzania, Dorris Malulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...