RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akizungumza na Ujumbe wa ngazi ya juu kutoka Wizra ya Mambo ya Nje ya India,unaoongozwa na Katibu Mkuu wa Idara ya Ushirikiano Kati ya India na Bara la Afrika Mhe.Dammu Ravi(wa pili kulia) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo,(kushoto) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.[Picha na Ikulu] 07/10/2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Katibu Mkuu wa Idara ya Ushirikiano Kati ya India na Bara la Afrika Mhe.Dammu Ravi wakati wa mazungumzo na Ujumbe wa ngazi ya juu kutoka Wizra ya Mambo ya Nje ya India,walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu] 07/10/2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiagana na Katibu Mkuu wa Idara ya Ushirikiano Kati ya India na Bara la Afrika Mhe.Dammu Ravi,mara baada ya mazungumzo na Ujumbe wa ngazi ya juu kutoka Wizra ya Mambo ya Nje ya India,walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu] 07/10/2022.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...