Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Christopher Kadio (Kushoto) akimkabidhi nyaraka mbalimbali Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Maduhu Kazi wakati wa makabidhiano ya ofisi baada ya kustaafu utumishi wa Umma leo Oktoba 13, 2022. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika Makao Makuu ya Wizara hiyo jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali waliopo katika Wizara hiyo. (Picha na Jeshi la Polisi)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Christopher Kadio akisaini nyaraka za makabidhiano wakati wa hafla ya kumkabidhi ofisi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Maduhu Kazi baada ya kustaafu utumishi wa umma. Makabidhiano hayo yamefanyika Makao Makuu ya Wizara hiyo jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali waliopo katika Wizara hiyo. (Picha na Jeshi la Polisi)





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...