
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Christopher Kadio akisaini nyaraka za makabidhiano wakati wa hafla ya kumkabidhi ofisi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Maduhu Kazi baada ya kustaafu utumishi wa umma. Makabidhiano hayo yamefanyika Makao Makuu ya Wizara hiyo jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali waliopo katika Wizara hiyo. (Picha na Jeshi la Polisi)
.jpg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...