Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Rais wa  Kituo  cha kutengeneza  vifaa tiba ( Mdeical Device Development Centre) cha Korea, Bw. Felix K. Yie  kuhusu utengenezaji wa dawa katika kituo hicho wakati alipokitembelea  kituo hicho akiwa katika ziara ya kikazi nchini korea, Oktoba26, 2022. (Pichana Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Rais wa  Kituo  cha kutengeneza vifaa tiba ( Mdeical Device Development Centre) cha Korea, Bw. Felix K. Yie  kuhusu utengenezaji wa  vifaa tiba kituoni hapo.  Mheshimiwa Majaliwa alitembelea Kituo hicho akiwa katika ziara ya kikazi nchini korea, Oktoba26, 2022. (Pichana Ofisi ya Waziri Mkuu) 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Rais wa  Kituo  cha kutengeneza  vifaa tiba ( Mdeical Device Development Centre) cha Korea, Bw. Felix K. Yie  (kulia) kuhusu vifaa tiba vinavyotengenezwa kituoni hapo. Mheshimiwa Majaliwa alitembelea Kituo hicho akiwa katika ziara ya kikazi nchini korea Kusini, Oktoba 26, 2022. (Pichana Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kituo cha  Kutengeneza Dawa za Binadamu na Vifaa Tiba (KBIOHEALTH na Medical Device Development Centre)baada ya kutembelea kituo hicho akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo, Oktoba 26, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...