Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mhe. Anne Kilango akitoa maelekezo kwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, wakati kamati hiyo ilipopokea taarifa ya miradi ya maendeleo ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na Kampuni ya Huduma za Meli (Mscl), jijini Dodoma.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, akitoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakati kamati hiyo ilipopokea taarifa ya miradi ya maendeleo ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) jijini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mhe. Anne Kilango.
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Atupele Mwakibete akizungumza na Katibu Mkuu wa Uchukuzi Gabriel Migire kabla ya kuwasilishwa taarifa ya miradi ya maendeleo ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na Kampuni ya Huduma Za Meli (MSCL) kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu jijini Dodoma. 

Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Juma Kijavara akitoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakati kamati hiyo ilipopokea taarifa ya miradi ya maendeleo ya Mamlaka hiyo, jijini Dodoma.

 

Sehemu ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakifuatilia wasilisho la taarifa ya miradi ya maendeleo ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) iliyowasilishwa kwao, jijini Dodoma. 

 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) Eric Hamissi akitoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakati kamati hiyo ilipopokea taarifa ya miradi ya maendeleo ya taasisi hiyo, jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa akitoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakati kamati hiyo ilipopokea taarifa ya miradi ya maendeleo ya Mamlaka hiyo, jijini Dodoma.

 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...