Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson ameongoza kikao cha ufafanuzi wa baadhi ya masuala yaliyojitokeza wakati wa Mkutano wa Wabunge wote tarehe 12 Septemba, 2022 kuhusu masuala ya Bima ya Afya kwa Wabunge, Matumizi ya VIP Lounge na Malipo ya Posho kwa Safari za matibabu ya nje ya Nchi kilichofanyika leo tarehe 27 Oktoba, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Mhe. George Simbachawene na Katibu wa Bunge, ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc


Waheshimiwa Wabunge wakiwa katika kikao cha ufafanuzi wa baadhi ya masuala yaliyojitokeza wakati wa Mkutano wa Wabunge wote tarehe 12 Septemba, 2022 kuhusu masuala ya Bima ya Afya kwa Wabunge, Matumizi ya VIP Lounge na Malipo ya Posho kwa Safari za matibabu ya nje ya Nchi kilichofanyika leo tarehe 27 Oktoba, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.

Mbunge wa Nzega Vijijini, Mhe. Hamisi Kigwangalla akichangia jambo wakati wa kikao cha ufafanuzi wa baadhi ya masuala yaliyojitokeza wakati wa Mkutano wa Wabunge wote tarehe 12 Septemba, 2022 kuhusu masuala ya Bima ya Afya kwa Wabunge, Matumizi ya VIP Lounge na Malipo ya Posho kwa Safari za matibabu ya nje ya Nchi kilichofanyika leo tarehe 27 Oktoba, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mhe. Agnes Marwa akichangia jambo wakati wa kikao cha ufafanuzi wa baadhi ya masuala yaliyojitokeza wakati wa Mkutano wa Wabunge wote tarehe 12 Septemba, 2022 kuhusu masuala ya Bima ya Afya kwa Wabunge, Matumizi ya VIP Lounge na Malipo ya Posho kwa Safari za matibabu ya nje ya Nchi kilichofanyika leo tarehe 27 Oktoba, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.(PICHA NA OFISI YA BUNGE)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...