Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank TCB Sabasaba Moshingi (kushoto), akikabidhi msaada wa kisima cha maji kwa Mbunge wa Jimbo la Paje Unguja Mh Sudi Hassan kwa niaba ya wamama wa Jimbo hilo wanaojishughulisha na Kilimo cha mwani kwaajili ya kustawisha Kilimo cha zao hilo hafla ya makabidhiano hayo yefanyika unguja mwishoni mwa wiki wengine pichani ni baadhi ya wamama waliopatiwa msaada huo


Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank TCB Sabasaba Moshingi akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali pamoja na wakulima wa zao la mwani kutoka jimbo la paje Unguja


Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank TCB Sabasaba Moshingi akifurahi pamoja na viongozi mbalimbali na wamama wakulima wa zao la mwani Unguja mara baada yakukabidhi msaada wa kisima kwaajili ya kustawisha Kilimo cha zao hilo hafla ya makabidhiano hayo yefanyika unguja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...