JUMLA ya shilingi 340,301,000 imetumika katika ujenzi wa madarasa na vyoo katika shule 10, Vituo vya afya 3, kujenga Visima vya maji 14, kujenga mabwawa ya uvuvi mawili, zakarabati soko la samaki na kusaidia vikundi katika shughuli zao.
Fedha hizo ni kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) ilisaidia katika Maendeleo katika maeneo Mbalimbali ambayo yanahifadhi utalii katika maeneo yao.
Maeneo yaliyonufaika na msaada huo ni Kondoa Idindiri, Mauno, Bomangombe na Ihari. Maeneo mengine ni Kibondo, Kaliua, Bunda, Kilwa, Kilwa Masasi Njinjo Napacho na Masuguru.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...